WASANII WAKUTANA VIWANJA VYA LEADERS KUPANGA MIKAKATI YA MSIBA WA RECHO
![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Lt-WlNiAJfsMkZvXHu0C-vhG2K*KzIhluueftYD5gELyDP5nRfwETm5P9txwBqUHf0R37ZkzFqNTPBPYnt111sf/1msibawarecho1.jpg?width=650)
Wasanii wa Bongo Movies Unity wakiwa katika Viwanja vya Leaders kupanga mikakati ya msiba wa mwenzao, Rachel Haule 'Recho' aliyeaga dunia jana usiku. Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere akiongoza kikao cha wasanii kwenye Viwanja vya Leaders, Dar.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-13ANUQ6k5js/XuHoyK8sgSI/AAAAAAAEHm4/o9CZ07V_7bsYotTX8ZsK1Bf2a092A358QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200610_094623_200%25281%2529.jpg)
POLISI NA WAHUDUMU WA BAR WAKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KIUSALAMA
Akizungumza na wahudumu hao jana, Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani humo Nico Livingstone alisema, suala la ulinzi la mwananchi na mali ni la kila mmoja na sio taasisi moja. Amewataka wahudumu na wamiliki wa bara na nyumba za kulala wageni kutoa taarifa kwa polisi pale...
11 years ago
GPLVODACOM EXPO LAANZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
11 years ago
GPLMAMIA WAMUAGA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBD1iMIQhg8c220WEX4inmmR08BScEAm9bs8JaHOuwAv7QWDSXeb99sTUMQ2BHiPlZwMPtvAhpLCmavm1VMyhYl3/IMG20140520WA0010.jpg?width=650)
MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBxm7gnAptMQILGCygI*3lK2CRjWH-jPcQ7Z0q2PoWEf1hDf8G97bDd*Te2RETwzjB7H8zJrx2AR-A3OMbku*re/LEADERS1.jpg?width=650)
MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wanaenaboishu kukutana kupanga mikakati ya kusaidia shule yao
Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya ya Wanafunzi waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu Renalda Shirima akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu mkutano wao wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam kwa ajili ya kuangalia fursa mbalimbali ambazo wanaweza kushirikiana katika kuleta maendeleo ya taaluma katika shule yao ya zamani kwa kuboresha mazingira ya wanafunzi na walimu ya kujifunzia na kufundishia. Kushoto ni Afisa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DfhVqTTYhlI/VSe-V7K58QI/AAAAAAAHQGw/H-jHr-OcU80/s72-c/Nyamachoma-blog-poster-Dar.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xTc3qoe4Qzs/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Matukio mbalimbali kwenye show ya Kili Fest viwanja vya Leaders usiku wa jana
Mwanamuziki wa Bongo, Farid Kubanda ama Fid Q, akipagawisha jukwaani wakati wa tamasha la KiliFest ndani ya viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es Salaam. Fid Q, aliweza kukonga nyoyo kwa kupiga nyimbo mbalimbali huku akiwapagawisha na freestyle za papo kwa papo hali iliyoinua shangwe za mara kwa mara kutoka kwa mashabiki lukuki waliojitokeza kwenye shoo hiyo hapo jana usiku.( Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Mwanamuziki wa Rubby, akipagawisha jukwaani wakati wa tamasha la...