WANAFUNZI WALIOWAHI KUSOMA ENABOISHU KUKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KUSAIDIA SHULE YAO
Na Zawadi Msalla-MAELEZOWANAFUNZI waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu ya jijini Arusha wanatarajia kukutana tarehe 5 Desemba 2015 ili kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuisaidia shule hiyo katika kuboresha maendeleo ya taaluma.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya hiyo ya Enaboishu Renalda Shirima alisema mkutano huo wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam.
Ambapo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wanaenaboishu kukutana kupanga mikakati ya kusaidia shule yao
Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya ya Wanafunzi waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu Renalda Shirima akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu mkutano wao wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam kwa ajili ya kuangalia fursa mbalimbali ambazo wanaweza kushirikiana katika kuleta maendeleo ya taaluma katika shule yao ya zamani kwa kuboresha mazingira ya wanafunzi na walimu ya kujifunzia na kufundishia. Kushoto ni Afisa...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-13ANUQ6k5js/XuHoyK8sgSI/AAAAAAAEHm4/o9CZ07V_7bsYotTX8ZsK1Bf2a092A358QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200610_094623_200%25281%2529.jpg)
POLISI NA WAHUDUMU WA BAR WAKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KIUSALAMA
Akizungumza na wahudumu hao jana, Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani humo Nico Livingstone alisema, suala la ulinzi la mwananchi na mali ni la kila mmoja na sio taasisi moja. Amewataka wahudumu na wamiliki wa bara na nyumba za kulala wageni kutoa taarifa kwa polisi pale...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!
Katibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula. Imedaiwa wanafunzi hao wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Lt-WlNiAJfsMkZvXHu0C-vhG2K*KzIhluueftYD5gELyDP5nRfwETm5P9txwBqUHf0R37ZkzFqNTPBPYnt111sf/1msibawarecho1.jpg?width=650)
WASANII WAKUTANA VIWANJA VYA LEADERS KUPANGA MIKAKATI YA MSIBA WA RECHO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZPFpQa6TPt4/VE3PjygJ3hI/AAAAAAAGte8/Z7jDttTiOnU/s72-c/1.jpg)
WAZIRI KAWAMBWA AWA "LAIGWANANI" ACHANGISHA MILIONI 35 UKARABATI WA SHULE YA ENABOISHU MKOANI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZPFpQa6TPt4/VE3PjygJ3hI/AAAAAAAGte8/Z7jDttTiOnU/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WkOW3z1XvH4/VE3Pkrt0TzI/AAAAAAAGtfA/lwav7SQFtE4/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha
Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.
Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-skrh5DAEvMY/U80_Wf7t92I/AAAAAAAF4ZY/J-giBoDMqaE/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Wataalamu wa kilimo wilayani Handeni kukutana kuweka mikakati ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara