Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi
Tangu mwaka 2010, taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kupitia mradi wake wa Uwezo, imekuwa ikifanya tafiti katika nchi za Afrika Mashariki zinazolenga kubaini uwezo wa watoto wa shule za msingi katika stadi za kusoma na kuhesabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s72-c/BONGE%2BJUMA.jpg)
NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUZNI WA SHULE ZA MSINGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s640/BONGE%2BJUMA.jpg)
10 years ago
CloudsFM26 Feb
Miriam Odemba atembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma mkoani Arusha.
Mwanamitindo wa Kimataifa,Miriam Odemba ametua Bongo na kutembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma ya Mery iliyopo mkoani Arusha na kuzungumza na wanafunzi wanaosoma hapo.
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
9 years ago
Michuzi03 Dec
WANAFUNZI WALIOWAHI KUSOMA ENABOISHU KUKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KUSAIDIA SHULE YAO
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya hiyo ya Enaboishu Renalda Shirima alisema mkutano huo wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam.
Ambapo katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--EjQB0ZUUMc/VT-L6w1DF1I/AAAAAAAHT0U/Ms9GZEQqIzw/s72-c/004.MLIMANI%2BMSINGI.jpg)
WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MLIMANI WAPATIWA MAFUNZO.
![](http://1.bp.blogspot.com/--EjQB0ZUUMc/VT-L6w1DF1I/AAAAAAAHT0U/Ms9GZEQqIzw/s1600/004.MLIMANI%2BMSINGI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G6IWUk7Zv4g/VT-L7k2nilI/AAAAAAAHT0Q/2VZlVus3JXw/s1600/005.MLIMANI%2BMSINGI.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Sep
UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono
![Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mtafiti.jpg)
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
RIPOTI MAALUM: Wanafunzi shule ya msingi washiriki ujangili
10 years ago
StarTV03 Feb
Wanafunzi Shule ya Msingi Mwabujose hatarini kuangukiwa na ukuta
Na Projestus Binamungu,
Simiyu.
Wanafunzi wa shule ya msingi Mwabujose wilayani Busega mkoani Simiyu wako hatarini kuangukiwa na kuta za madarasa ya shule hiyo.
Ni kutokana na baadhi ya madarasa kukaa kwa muda mrefu bila kufanyiwa ukarabati tangu yalipojengwa.
Wanafunzi 716 wa shule ya msingi Mwabujose iliyokuwepo kwa miaka 40 iliyopita katika kata ya Kalemela wilayani Busega.
Umri wa shule hii unadhihirisha kuwa imechoka kutokana na baadhi ya madarasa kuonesha kila dalili za kutaka...