Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUZNI WA SHULE ZA MSINGI

 Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama akiwaonyesha fomu ya kujiunga na uanchama wa hiari na fao la matibabu baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na NSSF wakati wa tamasha la wa kusoma vitabu wanafunzi wa shule za msingi, lililofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na NSSF. Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama (kushoto) akifafanua jambo kwa wanachama...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

11 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI‏

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA UHAMASISHAJI WA KUSOMA VITABU LAFANYIKA MICHEWENI

 MSAIDIZI Mkutubi Mkuu wa Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar, Abdalla Omar akielezea namna ya uzinduzi wa tamasha la uhamasishaji wa kusoma vitabu, kwa wanafunzi na wananchi wa wilaya ya Micheweni Pemba, lililofanyika juzi. AFISA Elimu na Mafunzo ya Amali wilaya ya Micheweni Pemba Mbwana Shaame, akielezea faraja yao, kwa Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar, tawi la Pemba kuanza wilaya hiyo, uzinduzi wa tamasha la uhamasishaji wa usomaji wa vitabu kwa wananchi na wanafunzi lililofanyika...

 

11 years ago

Mwananchi

Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi

Tangu mwaka 2010, taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza kupitia mradi wake wa Uwezo, imekuwa ikifanya tafiti katika nchi za Afrika Mashariki zinazolenga kubaini uwezo wa watoto wa shule za msingi katika stadi za kusoma na kuhesabu.

 

10 years ago

CloudsFM

Miriam Odemba atembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma mkoani Arusha.

Mwanamitindo wa Kimataifa,Miriam Odemba ametua Bongo na kutembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma ya Mery iliyopo mkoani Arusha na kuzungumza na wanafunzi wanaosoma hapo.

Miriam alisema kuwa amebarikiwa sana kupata nafasi ya kusoma katika shule hiyo ambayo imenifanya asiwe na uoga na kudhubutu kufanya chochote kitu kilichosababisha kunifikisha hapa nilipo. ‘’ nimejifunza vitu vingi sana ambavyo hakuna mtu yeyote ambaye anaweza akaninyanga’nya kwani mafanikio niliyoyapata sasa hivi ni...

 

10 years ago

Michuzi

SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200

Shule tatu za msingi katika mkoa wa Singida,zitapokea vitabu 200 wiki hii kusaidia katika mchakato wa kuboresha elimu ya shule ya msingi. Vitabu hivi vimetolewa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Children’s Book Project for Tanzania na italenga maelfu ya watoto nchini kote katika kuwakomboa kielimu.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo,Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali alisema kuwa Watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na...

 

9 years ago

Michuzi

TOTAL TANZANIA YADHAMINI MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI KWA SHULE 10 ZA MSINGI JIJINI DAR


 Askali wa usalama barabarani akitoa mafunzo kwa wanafunzi wa shule ya za msingi jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanafunzi wakiwa navyeti walivyo tunukiwa mara baada ya kupata mafunzo ya usalama barabarani jijini Dar es Salaam. 
Na Tom Bishop. KAMPUNI  ya Mafuta ya Tatal  Tanzania imedhamini mafunzo ya usalama barabarani kwa shule za msingi 10 jijini Dar es Salaam. Udhamini wa mafunzo hayo yamegharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 20,000 kupeleka kwenye mradi wake wa elimu ya usalama...

 

10 years ago

Dewji Blog

TICTS yakabidhi msaada wa vitabu kwa shule ya msingi Mivinjeni jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuini ya Ushushaji Mizigo Bandarini Tanzania International Container Terminal (TICTS) Paul Wallace akipeana mikono na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mivinjeni baaada ya kuwakabidhi msaada wa vitabu. Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuini ya Ushushaji Mizigo Bandarini Tanzania International Container Terminal (TICTS) Paul Wallace akiwakabidhi Vitabu wanafunzi wa Shule ya msingi Mivinjeni . 2 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini...

 

11 years ago

Dewji Blog

Miss Ilala 2013 Doris Mollel akabidhi vitabu 50 shule ya msingi Pugu Dar

Miss Ilala 2013, Doris Mollel ijumaa ya wiki iliyopita alitembelea shule ya msingi Pugu jijini Dar es Salaam na kukabidhi vitabu 50 za hadithi kwa wanafunzi wa shule hiyo katika harakati zake binafsi za kuwajengea wanafunzi na watoto utamaduni na tabia ya kujisomea kwenye umri mdogo.

Miss Ilala huyo wa mwaka 2013 alitumia nafasi hiyo kuwahamasisha wanafunzi kujisomea kama ufunguo wa maisha yao ya baadaye.

Img_4177

Miss Ilala 2013, Doris Mollel, akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembea shule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani