NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUZNI WA SHULE ZA MSINGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s72-c/BONGE%2BJUMA.jpg)
Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama akiwaonyesha fomu ya kujiunga na uanchama wa hiari na fao la matibabu baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na NSSF wakati wa tamasha la wa kusoma vitabu wanafunzi wa shule za msingi, lililofanyika jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na NSSF.
Ofisa Mwandamizi Idara ya Matekelezo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abubakar Mshangama (kushoto) akifafanua jambo kwa wanachama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.
Kitunga amesema...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA UHAMASISHAJI WA KUSOMA VITABU LAFANYIKA MICHEWENI
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi
10 years ago
CloudsFM26 Feb
Miriam Odemba atembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma mkoani Arusha.
Mwanamitindo wa Kimataifa,Miriam Odemba ametua Bongo na kutembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma ya Mery iliyopo mkoani Arusha na kuzungumza na wanafunzi wanaosoma hapo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-71NkWc4cIvY/VO2BomCFijI/AAAAAAAHFyk/MUq7tKjkhkk/s72-c/unnamed.jpg)
SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200
Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo,Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali alisema kuwa Watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bARvaVCmH-0/VfABeeEHq_I/AAAAAAAH3iA/TmiGs0m7708/s72-c/IMG-20150901-WA0020.jpg)
TOTAL TANZANIA YADHAMINI MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI KWA SHULE 10 ZA MSINGI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bARvaVCmH-0/VfABeeEHq_I/AAAAAAAH3iA/TmiGs0m7708/s640/IMG-20150901-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0otNurSi4ZY/VfABeSGeAmI/AAAAAAAH3h8/tSEy1sINCGA/s640/IMG-20150831-WA0020.jpg)
Na Tom Bishop. KAMPUNI ya Mafuta ya Tatal Tanzania imedhamini mafunzo ya usalama barabarani kwa shule za msingi 10 jijini Dar es Salaam. Udhamini wa mafunzo hayo yamegharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 20,000 kupeleka kwenye mradi wake wa elimu ya usalama...
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
TICTS yakabidhi msaada wa vitabu kwa shule ya msingi Mivinjeni jijini Dar
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/215.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Miss Ilala 2013 Doris Mollel akabidhi vitabu 50 shule ya msingi Pugu Dar
Miss Ilala 2013, Doris Mollel ijumaa ya wiki iliyopita alitembelea shule ya msingi Pugu jijini Dar es Salaam na kukabidhi vitabu 50 za hadithi kwa wanafunzi wa shule hiyo katika harakati zake binafsi za kuwajengea wanafunzi na watoto utamaduni na tabia ya kujisomea kwenye umri mdogo.
Miss Ilala huyo wa mwaka 2013 alitumia nafasi hiyo kuwahamasisha wanafunzi kujisomea kama ufunguo wa maisha yao ya baadaye.
Miss Ilala 2013, Doris Mollel, akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembea shule...