Miriam Odemba atembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma mkoani Arusha.
Mwanamitindo wa Kimataifa,Miriam Odemba ametua Bongo na kutembelea shule ya msingi aliyowahi kusoma ya Mery iliyopo mkoani Arusha na kuzungumza na wanafunzi wanaosoma hapo.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo518 Jul
Miriam Odemba akava jarida jipya la New African Woman
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kusoma, kuhesabu kunavyowasumbua wanafunzi shule za msingi
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s72-c/BONGE%2BJUMA.jpg)
NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUZNI WA SHULE ZA MSINGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s640/BONGE%2BJUMA.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Feb
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA MSINGI MPILIPILI
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
11 years ago
MichuziMh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-71NkWc4cIvY/VO2BomCFijI/AAAAAAAHFyk/MUq7tKjkhkk/s72-c/unnamed.jpg)
SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200
Akizungumza wakati wa kukabidhi vitabu hivyo,Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali alisema kuwa Watoto wanaotakiwa kupata vitabu hivi ni wale walio na uhitaji sana na...