TAMASHA LA UHAMASISHAJI WA KUSOMA VITABU LAFANYIKA MICHEWENI
MSAIDIZI Mkutubi Mkuu wa Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar, Abdalla Omar akielezea namna ya uzinduzi wa tamasha la uhamasishaji wa kusoma vitabu, kwa wanafunzi na wananchi wa wilaya ya Micheweni Pemba, lililofanyika juzi.
AFISA Elimu na Mafunzo ya Amali wilaya ya Micheweni Pemba Mbwana Shaame, akielezea faraja yao, kwa Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar, tawi la Pemba kuanza wilaya hiyo, uzinduzi wa tamasha la uhamasishaji wa usomaji wa vitabu kwa wananchi na wanafunzi lililofanyika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s72-c/BONGE%2BJUMA.jpg)
NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUZNI WA SHULE ZA MSINGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOvn1muTrz0/VlBv17RBn3I/AAAAAAABkrw/NJn2ti_jZcc/s640/BONGE%2BJUMA.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Watanzania washauriwa kusoma, kuandika vitabu
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kupata maarifa ya kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo. Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Evodius Katare, ambaye pia ni...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Umewahi kusoma vitabu na watoto wako?
KUANZIA Novemba 24 hadi 29 mwaka huu, baadhi yetu ambao tunaamini katika kuwapa nafasi watoto wetu ya kujiandaa na kujijenga kiakili na kifikra kabla ya kuanza shule na wakati wa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Benki yahimiza wanafunzi kujenga tabia ya kusoma vitabu
BENKI ya Afrika Tanzania imewataka wanafunzi nchini kujijengea tabia ya kusoma vitabu kama njia kuu itakayowawezesha kukuza upeo wao kiakili na kuweza kuchanganua mambo mbalimbali. Meneja Mwandamizi wa benki hiyo,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Watanzania washauriwa kujenga utamaduni wa kusoma, kuandika vitabu
![](http://2.bp.blogspot.com/-6HHn9T_3A8c/UzFR5Bxu_eI/AAAAAAAFWKc/oUjNO3Zfczw/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
“Wajengeeni watoto utamaduni wa kusoma vitabu” — Mama Salma Kikwete
MKE wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi Tamasha la kwanza la vitabu vya watoto sambamba na kampeni ya usomaji yenye kauli mbiu ‘Mpe Kila Mtoto Kitabu’ kwenye uzinduzi uliofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amewataka walezi na wazazi nchini kuwanunulia vitabu watoto wao ili kuwajengea utamaduni wa kupenda kujisomea vitabu vya ziada...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4.jpg)
Jamii yatakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kusoma Vitabu ili kuongeza Maarifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4.jpg)
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Emmanuel Temu akizungumza kwa niaba ya Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe Waziri wa Wizara hiyo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu kinachoitwa “Rais Magufuli na Serikali yake walivyobomoa Hekalu na kulijenga upya”kilichoandikwa na Mw.Projestus Vedasto Kabagambe uliofanyika jana Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2-3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2eNxfoTq9Ks/VB_Tjqq_n0I/AAAAAAACrYw/miflyf3aBgE/s72-c/18.jpg)
TAMASHA LA FIESTA LAFANYIKA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2eNxfoTq9Ks/VB_Tjqq_n0I/AAAAAAACrYw/miflyf3aBgE/s1600/18.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yPXzwo7RpZs/VB_Tej5PDEI/AAAAAAACrX0/5lniYNXYkc4/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ovbB-08SQY/VB_TnoUG_tI/AAAAAAACrZo/rBGPTRp3AVQ/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K-nb5sgON9M/VB_Te5FVyrI/AAAAAAACrYA/b-raHswY7MA/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l9ScYQ6fods/VB_TfftcywI/AAAAAAACrX4/kOyr5OGeDZI/s1600/11.jpg)
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA TAMASHA LA 20 LA UTAMADUNI WA MZANZIBAR LAFANYIKA JANA