KONGAMANO LA TAMASHA LA 20 LA UTAMADUNI WA MZANZIBAR LAFANYIKA JANA
Mshereheshaji katika Kongamano la Tamasha la 20 la Utamaduni wa Mzanzibar Otman Mohd (Makombora ), akitoa maelezo mafupi ya kongamano litakavyokuwa katika Ukumbi wa Suza mjini Zanzibar.
Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la Tamasha la 20 la Utamaduni wa Mzanzibar wakisikiliza kwa makini mada inayowasilishwa katika Ukumbi wa Suza mjini Zanzibar.
Katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar Bimwanahija Ali Juma ambae ni mgeni rasmi akitoa hotuba ya ufunguzi wa Tamasha la 20 la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ekSgJ1pFI3A/Va8pWBOOQXI/AAAAAAABDWI/0wtzzuIhQjw/s72-c/763.jpg)
DK. SHEIN ALIZINDUA TAMASHA LA 20 LA UTAMUDINI WA MZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekSgJ1pFI3A/Va8pWBOOQXI/AAAAAAABDWI/0wtzzuIhQjw/s640/763.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_Dwkl-Ctkg/Va8pWuLmauI/AAAAAAABDWM/JMiSwPSXI5k/s640/765.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OIiZhT9dlno/Va8pW_BaAXI/AAAAAAABDWU/BaJPN0I5S6U/s640/767.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vmyApsdlU34/Va8pZGOglbI/AAAAAAABDWg/R2bWbLJ4keU/s640/768.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RksOJ5lrE2g/Va9PZ-wNpPI/AAAAAAAB2ZM/sQj26HdVMt0/s72-c/725.jpg)
TAMASHA LA MZANZIBAR SALAMA BWAWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-RksOJ5lrE2g/Va9PZ-wNpPI/AAAAAAAB2ZM/sQj26HdVMt0/s640/725.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E1b1u_Zy_kM/Va9M8cuejCI/AAAAAAAB2Yg/DT_WSkFC8jk/s640/763.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KuwJ_EYZcLQ/VUzFGd0NX2I/AAAAAAAHWSw/dMenfx_noGY/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
KONGAMANO LA WAANDISHI ZA KILIMO LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Mwenyekiti wa Mtandao wa vikundi vya wakulima nchini (Mviwata), Veronica Sophu aliyasema hayo jana mjini Morogoro kwenye kongamano la waandishi wa habari wanaoandika habari za wakulima.
Sophu ambaye alikuwa mjumbe wa Bunge maalum la Katiba (BMK) kupitia kundi la wakulima alisema wakulima nchini wanatakiwa wasikilizwe kwani wana changamoto nyingi...
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kongamano la SDGs lafanyika kwa mafanikio Dodoma
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida, akitoa maelezo ya kongamano kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kulifungua kongamano kubwa la siku mbili la kujadili namna taifa linavyojiandaa kutekeleza malengo mapya ya Maendeleo endelevu (SDGs) limefanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma ambalo liliandaliwa na taasisi yake.
Na Mwandishi wetu, Dodoma
KONGAMANO kubwa la siku mbili la kujadili namna taifa linavyojiandaa kutekeleza malengo mapya ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rwTniHZa_os/VGzz-k3otZI/AAAAAAADNuc/XZbHIDeXr4o/s72-c/20141118_100555.jpg)
KONGAMANO LA VIJANA LA SIKU MOJA LAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-rwTniHZa_os/VGzz-k3otZI/AAAAAAADNuc/XZbHIDeXr4o/s1600/20141118_100555.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpX4dp1a1Vw/VGzz-oIBz3I/AAAAAAADNug/CzharKwUq4U/s1600/20141118_101009.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7zQmDoSBhM0/U4rfBWQVKpI/AAAAAAAFm38/dFcKNSQ329g/s72-c/unnamed+(12).jpg)
kongamano la kimataifa la wanasayansi lafanyika jijini Dar es Salaam
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Kongamano la upatikanaji wa fedha za ndani za maendeleo lafanyika jijini Arusha
![CDF 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/CDF-2.jpg)
Mkuu wa Mfuko wa Umoja wa mataifa wa Ukuzaji Mitaji (UNCDF) nchini na Meneja wa LFI duniani, Peter Malika akizungumza wakati Kongamano hilo.
Mkurugenzi wa...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania lafanyika jijini Dar
Ofisa Programu Dawati la Uangalizi wa Serikali wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hussein Sengu (kulia) akitoa mada katika Kongamano la siku mbili la Wanawake Wafanyabiashara Sokoni Tanzania lililofanyika Dar es Salaam jana. Kongamano hilo lililowahusisha wanawake kutoka mikoa tisa ya Tanzania Bara...
9 years ago
VijimamboKongamano la kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga adhabu ya kifo lafanyika Pemba