TAMASHA LA FIESTA LAFANYIKA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2eNxfoTq9Ks/VB_Tjqq_n0I/AAAAAAACrYw/miflyf3aBgE/s72-c/18.jpg)
Baba Levo na Peter Msechu wakipagawisha jukwaani kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Mmoja wa mashabiki aliyekuwa kwenye Tamasha la Fiesta akishangilia huku akiwa amebebwa na mwenzake.
Umati uliyokuwa umefurika kwenye Tamasha la Fiesta 2014, ukishangilia moja ya burudani zilizokuwa zikitolewa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Makomando wakiwajibika jukwaani hapo.
Ommy Dimpoz akiimba na mmoja wa mashabiki aliyekuwa akiimba kwenye nafasi ya Vanessa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nen7MGxWJ5U/VArQG8WJXVI/AAAAAAAGfsE/O8ud_ZxqxVk/s72-c/L.jpg)
NEWZ ALERT:TAMASHA LA FIESTA SASA KUFANYIKA KESHO JUMAPILI MJINI MUSOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nen7MGxWJ5U/VArQG8WJXVI/AAAAAAAGfsE/O8ud_ZxqxVk/s1600/L.jpg)
MKurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi,Bwa.Ruge Mutahaba (Wanne kulia) kwa niaba ya uongozi wa Clouds Media Group na PrimeTime Promotions Ltd ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta 2014,ametangaza rasmi kuwa onesho la tamasha hilo lililobeba ujumbe murua kabisa wa sambaza upendo, litafanyika kesho jumapili ndani ya uwanja wa Karume.
Tamasha hilo la Fiesta lilipangwa kufanyika JANA ijumaa mjini Musoma mkoani Mara lakini kufuatia ajali mbaya iliyotokea mkoani humo jana na kusababisho...
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Tamasha la Fiesta 2014 laiteka Singida, leo Jumapili kurindima mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-LRd4IoO5O4Q/VC_roXyypTI/AAAAAAACsIw/GBf4TDboaHQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJ6zUyxIra0/VC_ryMcP0HI/AAAAAAACsKg/tnUHISGSC4Y/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s72-c/2.jpg)
WAKAZI WA SINGIDA WAKUNWA NA UPENDO WA TAMASHA LA FIESTA,KESHO JUMAPILI KURINDIMA MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJ6zUyxIra0/VC_ryMcP0HI/AAAAAAACsKg/tnUHISGSC4Y/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IFA7HV9lUbA/VC_rzNHblzI/AAAAAAACsKw/CK_TApSh-qQ/s1600/5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vRXyvZsZbdU/VJo5cIXEWrI/AAAAAAACw30/yUZllxC6eYQ/s72-c/9.jpg)
TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vRXyvZsZbdU/VJo5cIXEWrI/AAAAAAACw30/yUZllxC6eYQ/s1600/9.jpg)
Tuo8January ni kampeni maalum iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa na lengo la kuwahamasisha vijana kujitokeza kushiriki mchakato wa uchaguzi wa viongozi mbalimbali wanaowataka na wanaowaamini wana uwezo wa kuleta mabadiliko ya kinidhamu kwenye masuala ya msingi ya Taifa ...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5AkYnd20X2GqPIuGCWOMJPoGkU8OCVCbt*N1LHQKNMfu7T3AVbz55Q1P-YLjLYLAdVNlyuZbF3G5uwLB--1OjR/9.jpg?width=650)
TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KuwJ_EYZcLQ/VUzFGd0NX2I/AAAAAAAHWSw/dMenfx_noGY/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
KONGAMANO LA WAANDISHI ZA KILIMO LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Mwenyekiti wa Mtandao wa vikundi vya wakulima nchini (Mviwata), Veronica Sophu aliyasema hayo jana mjini Morogoro kwenye kongamano la waandishi wa habari wanaoandika habari za wakulima.
Sophu ambaye alikuwa mjumbe wa Bunge maalum la Katiba (BMK) kupitia kundi la wakulima alisema wakulima nchini wanatakiwa wasikilizwe kwani wana changamoto nyingi...
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA TAMASHA LA 20 LA UTAMADUNI WA MZANZIBAR LAFANYIKA JANA
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA UHAMASISHAJI WA KUSOMA VITABU LAFANYIKA MICHEWENI