Tamasha la Fiesta 2014 laiteka Singida, leo Jumapili kurindima mjini Dodoma
Baadhi ya mwashabiki wa tamasha la Fiesta 2014 wakishangilia kwa hisia,wakati shoo ikiendelea jukwaani ndani uwanja wa Namfua mjini Singida.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kampuni ya No Fake Zone,Linah Sanga ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Oletemba,akiimba jukwaani mbele ya umati wa watu wakati wa tamasha la Fiesta lililofanyika jana katika uwanja wa Namfua,kulia ni mmoja wa wacheza shoo wake akiwajibika jukwaani.
Kundi mahiri la muziki wa kizazi kipya litambulikalo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s72-c/2.jpg)
WAKAZI WA SINGIDA WAKUNWA NA UPENDO WA TAMASHA LA FIESTA,KESHO JUMAPILI KURINDIMA MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJ6zUyxIra0/VC_ryMcP0HI/AAAAAAACsKg/tnUHISGSC4Y/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IFA7HV9lUbA/VC_rzNHblzI/AAAAAAACsKw/CK_TApSh-qQ/s1600/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nen7MGxWJ5U/VArQG8WJXVI/AAAAAAAGfsE/O8ud_ZxqxVk/s72-c/L.jpg)
NEWZ ALERT:TAMASHA LA FIESTA SASA KUFANYIKA KESHO JUMAPILI MJINI MUSOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nen7MGxWJ5U/VArQG8WJXVI/AAAAAAAGfsE/O8ud_ZxqxVk/s1600/L.jpg)
MKurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi,Bwa.Ruge Mutahaba (Wanne kulia) kwa niaba ya uongozi wa Clouds Media Group na PrimeTime Promotions Ltd ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta 2014,ametangaza rasmi kuwa onesho la tamasha hilo lililobeba ujumbe murua kabisa wa sambaza upendo, litafanyika kesho jumapili ndani ya uwanja wa Karume.
Tamasha hilo la Fiesta lilipangwa kufanyika JANA ijumaa mjini Musoma mkoani Mara lakini kufuatia ajali mbaya iliyotokea mkoani humo jana na kusababisho...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpzp8PRhMEOugL*Qulb9OjN3abq5NRQfS6vN34mJz82xs8yeZdvskQfgfChybp3leirWH9AMz*a9OqN8gkwf*cy3/PRESSUJASIRIAMALIMWANZA1.jpg?width=650)
TAMASHA LA UJASIRIAMALI KURINDIMA MWANZA IJUMAA HADI JUMAPILI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s72-c/L.jpg)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s1600/L.jpg)
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
T.I, Waje, Ash Hamman na Kimani kuwasili leo Dar kwa ajili Tamasha la Serengeti Fiesta 2014
Baada ya kuzunguka maelfu ya maili, tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litafunga ziara yake katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam kesho kutwa jumamosi.
Rapa wa kimataifa toka Marekani T.I, pamoja na Waje toka Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na nyota mwingine wa muziki wa kizazi kipya toka nchini Kenya, Victoria Kimani wanatarajiwa kutua leo nchini kwa ajili kuburudisha katika tamasha la Serengeti Fiesta.
T.I toka Marekani, Waje wa Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na Victoria Kimani wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s72-c/8.jpg)
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA 2014 JIONI YA LEO JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s1600/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQeoSXPxMOg/U_hv87VCiTI/AAAAAAAGBxY/_LLgMeTXUUM/s1600/7.jpg)
Mzee Njenje amewaasa wasanii hao ambao amekiri wazi kuwa wanafanya vizuri katika anga ya muziki wao,kupata muda mwingi wa kupumzika ikiwemo na suala la kutoendekeza masualaua ya anasa kama vile ulevi,ngono na mengineyo ambayo huchangia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XjgVr8hRH6I/VDHP97QoYbI/AAAAAAAGoNE/DRSpW2L9ZwA/s1600/7.jpg)
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,
![](http://3.bp.blogspot.com/-q01ufSDEll8/VDJOCTrlcuI/AAAAAAACsT0/Xpoq0k0Ow9Y/s1600/IMG_3191.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZASermCGBss/VC6JYLu5LPI/AAAAAAACsH0/Nj1IpVL3Um0/s72-c/1.jpg)
Semina ya Fursa 2014 yafanyika Mjini Singida leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZASermCGBss/VC6JYLu5LPI/AAAAAAACsH0/Nj1IpVL3Um0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTWNjdaq0IY/VC6FR-bDFKI/AAAAAAACsGI/J91uOnpAySc/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQ_Aqx7YKww/VC6Jd96kR_I/AAAAAAACsH8/bqOGJSavV34/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-666x89gQXtQ/VC6JOvonEsI/AAAAAAACsHM/YahdZFcTQwc/s72-c/3.jpg)
SEMINA YA FURSA 2014 ,JITATHIMINI,JIAMINI,JIONGEZE YAFANYIKA MJINI SINGIDA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-666x89gQXtQ/VC6JOvonEsI/AAAAAAACsHM/YahdZFcTQwc/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W5775F0PrvU/VC6JP3FHwmI/AAAAAAACsHU/asHVKebgr_Y/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JFSSAWESmBg/VC6JRaUB7NI/AAAAAAACsHc/buNV6mTqnkQ/s1600/5.jpg)