TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vRXyvZsZbdU/VJo5cIXEWrI/AAAAAAACw30/yUZllxC6eYQ/s72-c/9.jpg)
Wasanii wa Hip hop katika anga ya muziki wa Bongofleva,Faridi Kubanda a.k.a Fid Q pamoja na Stamina wakilishambulia jukwaa kwenye tamasha la wazi la Tuo8January,hapo jana katika viwanja vya sabasaba mjini Morogoro.
Tuo8January ni kampeni maalum iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa na lengo la kuwahamasisha vijana kujitokeza kushiriki mchakato wa uchaguzi wa viongozi mbalimbali wanaowataka na wanaowaamini wana uwezo wa kuleta mabadiliko ya kinidhamu kwenye masuala ya msingi ya Taifa ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5AkYnd20X2GqPIuGCWOMJPoGkU8OCVCbt*N1LHQKNMfu7T3AVbz55Q1P-YLjLYLAdVNlyuZbF3G5uwLB--1OjR/9.jpg?width=650)
TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/246.jpg)
TAMASHA LA KRISMASI LAFANA UWANJA WA JAMHURI, MOROGORO
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
Bonanza la Tigo Corporate Event lafana mjini Morogoro
Kikundi cha burudani cha Da Hustler Dancers cha mkoani Morogoro kikifanya onyesho katika Bonanza la Tigo Corporate Event lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Solomon Mahlangu Morogoro.
Mchezaji wa timu ya netball ya St. Joseph, Salome John akifunga doli katika mchezo wao dhidi ya timu ya tigo. Kwnye mchezo huo Tigo walilala kwa vikapu 5-0.
Meneja wa Tigo mkoa wa Morogoro na Tanga, Abasi Abel akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Chipolopolo katika ufunguzi wa bonanza la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRn38G3lpfWcRVm0kmJrrKUYN*ITfXChD8tkHHmFqpd8mHW9yTgw*cujKlmnmfxu2NYVGZZsu9XWmBJz9he1KBvW/IMG20140614WA0033.jpg?width=650)
TAMASHA LA KUZINDUA VIDEO YA MUUNGANO LAFANA MJINI DODOMA
10 years ago
CloudsFM10 Dec
FID Q AANZISHA KAMPENI YA VIJANA IITWAYO TUONANE “JANUARY”
Staa wa Hip Hop Bongo,Farid Kubanda ‘’FID Q’ ambaye amekuwa akifanya project nyingi za kijamii ‘’ujamaa hiphop darasa’’ ambayo inawapa nafasi vijana kufahamishwa kuhusu nguzo za hiphop, ana online tv Cheusi Dawa Tv, na sasa hivi Fid Q ana project mpya kwa ajili ya kuwaamsha vijana, kampeni inaitwa Tuonane Januari.
10 years ago
Michuzi10 Nov
TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10752811_770834002964751_455102368_o.jpg?oh=1b89da316447ce5456c59eea956c7805&oe=5462769C&__gda__=1415735297_d1eda4e9eae9628497d28db49c7d9c9c)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756902_770833936298091_1412211642_o.jpg?oh=df5bd8d068977a689b210b8b030473d2&oe=54628C36&__gda__=1415725734_19a16af4460517cf12be00f2e2781bad)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756381_770834029631415_705668584_o.jpg?oh=eda6bf3b244a53b846c4ed32f0f6e2fa&oe=546162C3&__gda__=1415747358_87e2c5577877db45dcbb9fd81e7630bf)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10800141_770834039631414_1976091569_o.jpg?oh=a5c1771383731ea0acdec7b125bfb108&oe=5462418C&__gda__=1415741276_4f4754d09da2f2a78b6ba91df65c7aca)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10804803_770834756298009_337901727_o.jpg?oh=fc23a3cb26948c1c8b3bb68c6a3b9f28&oe=546265DB&__gda__=1415723846_a1f865015e7f299d994a377bf2b88c91)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10754454_770834052964746_574637670_o.jpg?oh=51a663cd977916c2986e45856d0b26c7&oe=54627FCE&__gda__=1415672915_40d4df5bbec4f4c60f793846c11033ca)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2eNxfoTq9Ks/VB_Tjqq_n0I/AAAAAAACrYw/miflyf3aBgE/s72-c/18.jpg)
TAMASHA LA FIESTA LAFANYIKA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2eNxfoTq9Ks/VB_Tjqq_n0I/AAAAAAACrYw/miflyf3aBgE/s1600/18.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yPXzwo7RpZs/VB_Tej5PDEI/AAAAAAACrX0/5lniYNXYkc4/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3ovbB-08SQY/VB_TnoUG_tI/AAAAAAACrZo/rBGPTRp3AVQ/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K-nb5sgON9M/VB_Te5FVyrI/AAAAAAACrYA/b-raHswY7MA/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l9ScYQ6fods/VB_TfftcywI/AAAAAAACrX4/kOyr5OGeDZI/s1600/11.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-JsqVZ6nw0Ws/VKT67AnTOVI/AAAAAAACxCc/ghIQj4OzMs8/s72-c/IMG_3449.jpg)
TAMASHA LA TUO8JANUARY LILIVYOBAMBA TEMEKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-JsqVZ6nw0Ws/VKT67AnTOVI/AAAAAAACxCc/ghIQj4OzMs8/s1600/IMG_3449.jpg)
Wakiongozwa na Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ pamoja na Niki wa Pili, wasanii aidi ya 10 waliwapagawisha mamia ya mashabiki waliojitokeza kwenye viwanja hivyo kupata burudani na elimu hiyo.
Akizungumza kabla ya kuimba nyimbo zake kali, Mwana FA akitumia tamasha hilo lililopewa jina la ‘Tuonane Januari’,...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...