UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Rita kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi shule za msingi
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanafunzi Shule ya Msingi Raranya Rorya wasitishiwa masomo kwa ukosefu wa choo.
Wanafunzi zaidi ya mia tano wa shule ya msingi Raranya wilayani Rorya mkoani Mara wamelazimika kusimama masomo kwa zaidi ya miezi mitano kutokana na shule hiyo kufungwa kwa kutokuwa na choo.
Uongozi wa shule umetoa maelezo hayo kwa mbunge wa jimbo la Rorya Lameck Airo kufanya ziara ya kushutukiza na kukuta shule hiyo haina wanafunzi zaidi ya wa darasa la nne wanaoendelea na masomo.
Akiongea na star tv katika shule ya msingi Raranya ,mwl Magdalena John amekiri kufungwa kwa shule hiyo, huku...
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Waziri Simba akiri ngono kukithiri shule za msingi
![Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Sofia-Simba.jpg)
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, amesema utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), kuhusu wanafunzi wa shule za msingi kujihusisha na ngono una ukweli.
Simba ameyasema hayo baada ya gazeti hili kutoa taarifa kuhusu matokeo ya utafiti uliofanywa na MUHAS kupitia mradi wa PREPARE yaliyotolewa wiki iliyopita ili kubaini vijana...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DOYl7_-lIfE/Uvfgb5jOVLI/AAAAAAAAdg0/wm9n4z7rbnE/s72-c/unnamedG.jpg)
TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W8gEAVDN3SA/Xmvp8KicMjI/AAAAAAALjBQ/24ZEbO6W-e4EpurtgnwcTj0DNaAILYUrACLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x432.jpg)
SHIRIKA LA OCODE LAWAJENGEA DARASA JIPYA KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA AWALI SHULE YA MSINGI KIBWEGERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-W8gEAVDN3SA/Xmvp8KicMjI/AAAAAAALjBQ/24ZEbO6W-e4EpurtgnwcTj0DNaAILYUrACLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x432.jpg)
11 years ago
MichuziTAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dqD_QkHo5D0/VPBlSgkxEYI/AAAAAAAHGNk/p_VUtgo8zXA/s72-c/DSCF5044.jpg)
RITA wazindua mkakati wa Usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-dqD_QkHo5D0/VPBlSgkxEYI/AAAAAAAHGNk/p_VUtgo8zXA/s1600/DSCF5044.jpg)