Waziri Simba akiri ngono kukithiri shule za msingi
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, amesema utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili (MUHAS), kuhusu wanafunzi wa shule za msingi kujihusisha na ngono una ukweli.
Simba ameyasema hayo baada ya gazeti hili kutoa taarifa kuhusu matokeo ya utafiti uliofanywa na MUHAS kupitia mradi wa PREPARE yaliyotolewa wiki iliyopita ili kubaini vijana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania03 Sep
UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono
![Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mtafiti.jpg)
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_mCGl1u4-zY/Xk07bSJTSlI/AAAAAAALeVY/TXWPtNy-AFohTzGe_kRnMf2ZWbofrcpCACLcBGAsYHQ/s72-c/bv.jpg)
WAZIRI JAFO AZINDUA SHULE YA MSINGI 'MAVUNDE' JIJINI DODOMA
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema mwisho wa wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kwenda shule katika kata ya Nala jijini Dodoma ni mwaka huu kwani kuanzia mwakani hakutakua na changamoto ya madarasani katika shule ya msingi kwenye kata hiyo.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mhe Selemani Jafo wakati akizindua shule shikizi ya msingi ya Chiwondo iliyopo katika Jiji la Dodoma.
Shule hiyo imejengwa kwa msaada wa Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Mhe Anthony...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE
10 years ago
Vijimambo02 Aug
Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0145.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0178.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...