Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape akumbushia yaliyotokea NEC

KATIBU wa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nauye, ameanika sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutomteua aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kuwa mgombea wake urais katika uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni pamoja na kuwa na historia ya kutumia vibaya madaraka yake katika kila ofisi anayopewa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Nape warns NEC on voter kits

The National Electoral Commission will be to blame if things go wrong in the voter registration exercise using the Biometric Voter Register (BVR) kits, CCM’s Ideology and Publicity secretary Nape Nnauye has said.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: Nec iseme ukweli wa mashine

Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ameendelea kuibana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) safari hii akiitaka kujibu maswali manne kuhusu uamuzi wa kuanzisha utaratibu mpya wa uandikishaji wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya Biometric Voter Registration (BVR).

 

11 years ago

GPL

SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE

Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ ametoa dukuduku lake baada ya kuelezea mateso aliyopata kipindi alipokuwa anaanza kujihusisha na masuala ya sanaa katika Kundi la Kaole. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Sandra aliliambia Ijumaa kuwa, mateso anayoyazungumzia ni yale ya kunyanyaswa na wasanii wenzake huku wakimfanyia vitimbi vya kila...

 

11 years ago

Habarileo

Mnyika akumbushia fidia Mloganzila

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe eneo la Mloganzila kama ilivyoahidiwa kwa nyakati mbalimbali kati ya mwaka 2009 na 2010.

 

9 years ago

Bongo5

Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’

Kwa mwanamuziki kufanya kazi kwa mara ya kwanza na muimbaji aliyekuwa akimchukulia kama mtu wake wa mfano, wasiwasi si jambo la kushangaza. Hali hiyo ndio ilimkuta Nakaaya wakati akirekodi wimbo na Lady Jaydee, Sista Sista mwaka 2009. “Niliandika wimbo huu mwaka 2009 pamoja na msanii niliyekuwa namwangalia, ambaye baadaye alikuja kuwa rafiki mkubwa, Lady Jaydee. […]

 

10 years ago

Vijimambo

YALIYOTOKEA GERMANY YATOKEA TENA LONDON

Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri.Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea majumbani mwao na hasira walizozimeza vifuani.saeedderby: I was there brov it was maad trust me, even...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinondoni iepuke yaliyotokea Temeke ugawaji wa viwanja

JUNI 2012 Manispaa ya Temeke iliwatangazia wananchi mpango wa kuuza viwanja 1,800 eneo la Gezaulole, Dar es Salaam kwa ajili ya kujenga maeneo yaliyo rasmi na kuepuka ujenzi holela. Matamanio...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Round Up (Yaliyotokea kwenye burudani Bongo — August 28)

Awamu nyingine ya Round Up iko hapa. Kuna story ya Diva The Bawse na uamuzi wake wa kumfungulia mashtaka Diamond kwa kumdhalilisha, story ya Zari kurejesha umbo lake kama zamani baada ya kujifungua na pia Masongange ana mpya gani leo? Tazama hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani