Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape: Nec iseme ukweli wa mashine

Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ameendelea kuibana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) safari hii akiitaka kujibu maswali manne kuhusu uamuzi wa kuanzisha utaratibu mpya wa uandikishaji wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya Biometric Voter Registration (BVR).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbwezeleni: TFF iseme ukweli

Danadana zimeendelea kuhusu rufaa iliyowasilishwa kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na wakili na mwanasheria maarufu kwenye masuala ya soka nchini, Dk Damas Ndumbaro baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa, Hamidu Mbwezelani kulitaka shirikisho hilo kusema ukweli.

 

10 years ago

Habarileo

Nape: Ukweli utainusuru CCM isife

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape NnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kama viongozi na wanachama watashindwa kuambiana ukweli juu ya mustakabali wa chama hicho, upo uwezekano mkubwa wa chama hicho kufa.

 

10 years ago

Mtanzania

Mashine za NEC ‘bomu’

Pg 2

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekiri kuwa mashine 250 zilizotumika katika zoezi la majaribio la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) lililofanyika mwezi uliopita katika majimbo matatu nchini, hazifai.
Imesema baada ya kugundua kasoro zilizo kwenye mashine hizo, sasa inakusudia kufanya marekebisho wakati wa utengenezaji wa mashine mpya 7,750 zinazotarajiwa kuagizwa kwa ajili ya kutumika katika kazi hiyo kuanzia...

 

11 years ago

Habarileo

NEC:Gharama mashine za BVR ndogo

GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).

 

9 years ago

Habarileo

Nape akumbushia yaliyotokea NEC

KATIBU wa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nauye, ameanika sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutomteua aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kuwa mgombea wake urais katika uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni pamoja na kuwa na historia ya kutumia vibaya madaraka yake katika kila ofisi anayopewa.

 

10 years ago

TheCitizen

Nape warns NEC on voter kits

The National Electoral Commission will be to blame if things go wrong in the voter registration exercise using the Biometric Voter Register (BVR) kits, CCM’s Ideology and Publicity secretary Nape Nnauye has said.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

 

11 years ago

Mwananchi

TPDC iseme kwa nini makubaliano ni tofauti na mkataba elekezi?

Baada ya kuvuja kwa mkataba wa kutafuta na kuzalisha gesi asilia kati ya TPDC na kampuni ya Norway ya StatOil na baada ya baadhi ya wachambuzi kuhoji kuhusu mkataba huo, TPDC imetoa maelezo yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani