Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashine za NEC ‘bomu’

Pg 2

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekiri kuwa mashine 250 zilizotumika katika zoezi la majaribio la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR) lililofanyika mwezi uliopita katika majimbo matatu nchini, hazifai.
Imesema baada ya kugundua kasoro zilizo kwenye mashine hizo, sasa inakusudia kufanya marekebisho wakati wa utengenezaji wa mashine mpya 7,750 zinazotarajiwa kuagizwa kwa ajili ya kutumika katika kazi hiyo kuanzia...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

NEC:Gharama mashine za BVR ndogo

GHARAMA za kununua mashine za kisasa zitakazotumika katika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za Biometric Voters Registration (BVR) ni ndogo, ukilinganisha na bei aliyoitoa mzabuni wa kwanza kabla ya zabuni hiyo kufutwa na Mamalaka ya Rufaa za Manunuzi ya Umma (PPAA).

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: Nec iseme ukweli wa mashine

Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ameendelea kuibana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) safari hii akiitaka kujibu maswali manne kuhusu uamuzi wa kuanzisha utaratibu mpya wa uandikishaji wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya Biometric Voter Registration (BVR).

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani