Video: Round Up (Yaliyotokea kwenye burudani Bongo — August 28)
Awamu nyingine ya Round Up iko hapa. Kuna story ya Diva The Bawse na uamuzi wake wa kumfungulia mashtaka Diamond kwa kumdhalilisha, story ya Zari kurejesha umbo lake kama zamani baada ya kujifungua na pia Masongange ana mpya gani leo? Tazama hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/w01y7uKZX2w/default.jpg)
9 years ago
Bongo525 Aug
Round Up: Tazama yaliyotokea kwenye Showbiz Tanzania (New Video)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9LWTvmgdDhg/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIbylWiC6k6L0ujTF3Z4j1aPrWuUBQHeiqpdzV*9RUGt4qV0U-lQ8wAapcGFZXOEM53zoWd2K2*IdsO4cF0uu6U/bella.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s72-c/bella.jpg)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s1600/bella.jpg)
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...
9 years ago
VijimamboTASWIRA YA MATUKIO YALIYOTOKEA KWENYE BABY SHOWER YA AMY HUKO FITCHBURG. MA SIKU YA JUMAMOSI
Mama Kijacho na baba Kijacho wakikata keki tayari kwa kulishana.
Baba Kijacho akimlisha keki mama Kijacho wake kwa raha zao
Baba Kijacho akimfuta mama Kijacho wake baada ya kumlisha keki
Mama wa mama Kijacho akiongea.
Mama Kijacho akisakata rhumba na mama yake mzazi.kwa taswira zaidi ya matukio yaliyokuwa yametokea ukumbini hapo jitiririshe kwenye soma zaidi.
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Christian Bella kutoa burudani ya kufa mtu katika fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) tarehe 30 August 2014 Mlimani City
Christian Bella
Na Josephat Lukaza
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la...
9 years ago
Bongo526 Dec
Video 25 za Bongo Flava zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2015
![youtube-logo-name-1920](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/youtube-logo-name-1920-300x194.jpg)
Kukua kwa teknolojia kumeufanya muziki usambae kwa haraka zaidi katika miaka ya hivi karibuni. Kwa sasa watu wengi huzitazama video za muziki kwenye simu zao zaidi kuliko hata kwenye TV zao.
Infact huanza kuziona video mpya kwenye smartphones zao dakika chache tu baada ya video kuwekwa Youtube.
Mwaka huu zimetoka video nyingi nzuri za muziki lakini si zote zilizopata views nyingi. Tumeangalia video 25 zilizotazamwa zaidi kwa mwaka 2015.
Video hizi ni zile zilizotoka kuanzia January hadi...
11 years ago
Bongo511 Aug
Fid Q na P-Funk kuachia ‘Bongo Hip Hop’ Jumatano, August 13