Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Round Up (Yaliyotokea kwenye burudani Bongo/Mtoni) Sept 11

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Round Up (Yaliyotokea kwenye burudani Bongo — August 28)

Awamu nyingine ya Round Up iko hapa. Kuna story ya Diva The Bawse na uamuzi wake wa kumfungulia mashtaka Diamond kwa kumdhalilisha, story ya Zari kurejesha umbo lake kama zamani baada ya kujifungua na pia Masongange ana mpya gani leo? Tazama hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

 

9 years ago

Bongo5

Round Up: Tazama yaliyotokea kwenye Showbiz Tanzania (New Video)

Kuanzia vacation ya Huddah Monroe jijini Dar, ujio wa Roc Nation Africa na bifu jipya kati ya Mirror na Nuh Mziwanda hii ni Round Up. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA MATUKIO YALIYOTOKEA KWENYE BABY SHOWER YA AMY HUKO FITCHBURG. MA SIKU YA JUMAMOSI



Mama Kijacho na baba Kijacho wakikata keki tayari kwa kulishana.

 Baba Kijacho akimlisha keki mama Kijacho wake kwa raha zao
 Baba Kijacho akimfuta mama Kijacho wake baada ya kumlisha keki  Mama Kijacho akimlisha kipande cha keki baba Kijacho wake, Kaka wa mama Kijacho akiongea
Mama wa mama Kijacho akiongea.
Mama Kijacho akisakata rhumba na mama yake mzazi.kwa taswira zaidi ya matukio yaliyokuwa yametokea ukumbini hapo jitiririshe kwenye soma zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Extra Bongo; bendi inayoongoza kwa burudani ya ‘unenguaji’ nchini

Mashabiki waliowahi kuhudhuria maonyesho ya bendi ya muziki wa dansi nchini ya Extra Bongo watakubaliana nami kwamba ina wacheza shoo (madansa) makini, wenye uelewa mpana na pengine kukonga zaidi nyoyo za mashabiki katika tasnia hiyo.

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014... MAPINDUZI BAB’KUBWA YA BURUDANI BONGO

Unakumbuka Tamasha la Usiku wa Matumaini lilivyotingisha mwaka jana? Basi kwa taarifa yako, mwaka huu wa 2014 linakuja tena kivingine likiwa limesheheni mapinduzi makubwa katika burudani yatakayoacha historia ya kipekee Bongo. Kwa mujibu wa mratibu wa ishu hiyo, Luqman Maloto, mpango mzima utakuwa ni kwenye Sikukuu ya Nanenane (8/8/2014) katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo wasanii kibao kutoka Bongo, Afrika...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Diamond alipotumbuiza kwenye ‘African Unplugged’ iliyofanyika London (Sept 14)

Diamond Platnumz jana (September 14) alishare jukwaa moja na mastaa wa Nigeria Davido na Tiwa Savage katika show kubwa ya ‘African Unplugged’ iliyofanyika kwenye ukumbi wa 02 Academy Brixton jijini London, Uingereza. Kituo cha televisheni BET International chenye makao yake makuu London, Uingereza walikuwa wakishare matukio (live) ya kilichokuwa kinaendelea jukwaani kupitia akaunti yao ya […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mimea na si watu waliojaza viti kwenye ukumbi wa burudani

Mimea yaburudishwa kwenye tamasha la muziki wa Opera

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii

COKE STUDIO PICHA 3

Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha  la Coke Studio.

PICHA COKE 1

Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.

COKE STUDIO PICHA 5

Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.

COKE STUDIO PICHA 2

Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio  kama wanavyoonekana  katika moja ya tamasha la Coke Studio.

-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani

Onyesho la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani