Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Extra Bongo; bendi inayoongoza kwa burudani ya ‘unenguaji’ nchini

Mashabiki waliowahi kuhudhuria maonyesho ya bendi ya muziki wa dansi nchini ya Extra Bongo watakubaliana nami kwamba ina wacheza shoo (madansa) makini, wenye uelewa mpana na pengine kukonga zaidi nyoyo za mashabiki katika tasnia hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BENDI YA EXTRA BONGO IMEZINDUA ALBAMU YAKE YA ‘MTENDA AKITENDEWA’ DAR LIVE

Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choky (kushoto) na Muumin Mwinjuma wakiimba kwa pamoja katika uzinduzi wa albamu ya Mtenda akitendewa usiku huu Dar Live. ...Banza Stone mmoja wa vivutio.…

 

11 years ago

GPL

KAMBI YA EXTRA BONGO YAJIFUA KWA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA

Kiongozi wa wanenguaji, Super Nyamwela (kulia) akiwaongoza wanenguaji. Sehemu ya wanahabari wakifuatilia zoezi hilo. Kiongozi wa bendi hiyo,…

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO MZIGONI

Choki akiimba kwa mbwembwe huku amekaa. Mnenguaji wa Extra Bongo, Super Nyamwela akiwa amepozi na mdau wa burudani, John Dotto. Choki na vijana wake wakiwa…

 

11 years ago

GPL

BANZA AJISALIMISHA EXTRA BONGO

Na Gladness Mallya BAADA ya kuachishwa kazi kutokana na kunywa pombe, mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejisalimisha na kuanza kufanya mazoezi na bendi hiyo kwa mara nyingine. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akizungumza na paparazi wetu, mkurugenzi wa bendi hiyo, Ally Choki alisema Banza alijisalimisha hivi karibuni na kuanza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo yapata msiba

MKURUGENZI Msaidizi wa bendi ya Extra bongo, Shuweya Khamis ‘Mama Shushuu’, amefariki dunia jana . Mama Shushuu ambaye pia ni mke wa Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Ally Choki amefariki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini apagawisha Extra Bongo

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Muumini Mwinjuma, aliwapagawisha mashabiki wakati akiimbia bendi ya Extra Bongo katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi. Muumini alikuwa kivutio kikubwa pale alipoimba nyimbo zake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo kuzindua ‘Mtenda Akitendewa’

BENDI inayokuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini, Extra Bongo ‘Wazee wa Kimbembe, Kizigo’ wanatarajia kuzindua albamu yao mpya ijulikanayo kama ‘Mtenda Akitendewa’. Uzinduzi huo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo, Yamoto ndani ya Meeda

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level Wazee wa Kimbembe’, Jumamosi hii itaungana na kundi la Yamoto linaloongozwa na Saidi Fela ‘Mkubwa Fela’ kuwasha moto wa burudani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani