BANZA AJISALIMISHA EXTRA BONGO
Na Gladness Mallya BAADA ya kuachishwa kazi kutokana na kunywa pombe, mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejisalimisha na kuanza kufanya mazoezi na bendi hiyo kwa mara nyingine. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akizungumza na paparazi wetu, mkurugenzi wa bendi hiyo, Ally Choki alisema Banza alijisalimisha hivi karibuni na kuanza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLEXTRA BONGO MZIGONI
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Extra Bongo yapata msiba
MKURUGENZI Msaidizi wa bendi ya Extra bongo, Shuweya Khamis ‘Mama Shushuu’, amefariki dunia jana . Mama Shushuu ambaye pia ni mke wa Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Ally Choki amefariki...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Muumini apagawisha Extra Bongo
MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Muumini Mwinjuma, aliwapagawisha mashabiki wakati akiimbia bendi ya Extra Bongo katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi. Muumini alikuwa kivutio kikubwa pale alipoimba nyimbo zake...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Extra Bongo kuzindua ‘Mtenda Akitendewa’
BENDI inayokuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini, Extra Bongo ‘Wazee wa Kimbembe, Kizigo’ wanatarajia kuzindua albamu yao mpya ijulikanayo kama ‘Mtenda Akitendewa’. Uzinduzi huo wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Extra Bongo, Yamoto ndani ya Meeda
BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level Wazee wa Kimbembe’, Jumamosi hii itaungana na kundi la Yamoto linaloongozwa na Saidi Fela ‘Mkubwa Fela’ kuwasha moto wa burudani...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Muumini awasubiri Extra Bongo Mwanza
MUIMBAJI nguli wa muziki wa dansi nchini, Mwinjuma Muumini anatarajia kuipokea bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ itakapovamia Kanda ya Ziwa katika Sikukuu ya Idd. Kwa mujibu wa Mkurugenzi...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Muumini kuwapokea Extra Bongo Mwanza
MUIMBAJI nguli wa muziki wa Dansi hapa nchini, Mwijuma Mumini anatarajia kuipokea bendi ya muziki huo ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ itakapovamia Kanda ya Ziwa katika sikukuu ya Idd....
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mafahari Watatu ndani ya Extra Bongo
BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level’ imewarudisha kinyemela mafahari watatu waliowahi kutamba, Ally Choki, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ na Mwinjuma Muumini katika onesho la mkesha wa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Minenguo Extra Bongo yapagawisha mashabiki
MASHABIKI wa bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’, juzi usiku walibaki midomo wazi baada ya wanenguaji wake wa kiume kucheza staili ya kipekee....