Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minenguo Extra Bongo yapagawisha mashabiki

MASHABIKI wa bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’, juzi usiku walibaki midomo wazi baada ya wanenguaji wake wa kiume kucheza staili ya kipekee....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SIKINDE YAPAGAWISHA MASHABIKI DARLIVE

Hassan Rehani Bitchuka akiimba.     Hassani Kunyata (kushoto) Msemba wa Minyugu (katikati) na Emba wakiimba.
   Aldof Mbinga akikung’uta gitaa la solo.…

 

11 years ago

GPL

JAHAZI YAPAGAWISHA MASHABIKI DAR LIVE

    Hadija Yusuf akiimba stejini.     Mzee Yusuf akitoa burudani kwa mashabiki.   Mashabiki waliofurika ukumbini hapo…

 

11 years ago

GPL

MASHAUZI CLASSIC YAPAGAWISHA MASHABIKI NDANI YA MANGO GARDEN

Kiongozi wa Mashauzi Classic, Isha Makongo (kulia) akiliongoza kundi lake kutoa burudani. Isha akiserebuka na wacheza kiduku wake.…

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO MZIGONI

Choki akiimba kwa mbwembwe huku amekaa. Mnenguaji wa Extra Bongo, Super Nyamwela akiwa amepozi na mdau wa burudani, John Dotto. Choki na vijana wake wakiwa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini apagawisha Extra Bongo

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Muumini Mwinjuma, aliwapagawisha mashabiki wakati akiimbia bendi ya Extra Bongo katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi. Muumini alikuwa kivutio kikubwa pale alipoimba nyimbo zake...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo yapata msiba

MKURUGENZI Msaidizi wa bendi ya Extra bongo, Shuweya Khamis ‘Mama Shushuu’, amefariki dunia jana . Mama Shushuu ambaye pia ni mke wa Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Ally Choki amefariki...

 

11 years ago

GPL

BANZA AJISALIMISHA EXTRA BONGO

Na Gladness Mallya BAADA ya kuachishwa kazi kutokana na kunywa pombe, mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejisalimisha na kuanza kufanya mazoezi na bendi hiyo kwa mara nyingine. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akizungumza na paparazi wetu, mkurugenzi wa bendi hiyo, Ally Choki alisema Banza alijisalimisha hivi karibuni na kuanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini kuwapokea Extra Bongo Mwanza

MUIMBAJI nguli wa muziki wa Dansi hapa nchini, Mwijuma Mumini anatarajia kuipokea bendi ya muziki huo ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ itakapovamia Kanda ya Ziwa katika sikukuu ya Idd....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini awasubiri Extra Bongo Mwanza

MUIMBAJI nguli wa muziki wa dansi nchini, Mwinjuma Muumini anatarajia kuipokea bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ itakapovamia Kanda ya Ziwa katika Sikukuu ya Idd. Kwa mujibu wa Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani