MASHAUZI CLASSIC YAPAGAWISHA MASHABIKI NDANI YA MANGO GARDEN
Kiongozi wa Mashauzi Classic, Isha Makongo (kulia) akiliongoza kundi lake kutoa burudani. Isha akiserebuka na wacheza kiduku wake.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B5g3xLHiRLA/VlbJnex6ppI/AAAAAAAIIbY/6BDiI-NjjmM/s72-c/kasemaje-com-isha-mashauzi-ndani-ya-danga-chee-kupitia-channel-ten_230972fdf3dcfc6d8e94f51a3f8584e213c4a307.jpg)
MASHAUZI CLASSIC KUZINDUA ALBAM MPYA LEO USIKU MANGO GARDEN
![](http://2.bp.blogspot.com/-B5g3xLHiRLA/VlbJnex6ppI/AAAAAAAIIbY/6BDiI-NjjmM/s320/kasemaje-com-isha-mashauzi-ndani-ya-danga-chee-kupitia-channel-ten_230972fdf3dcfc6d8e94f51a3f8584e213c4a307.jpg)
Uzinduzi wa albam hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa, utasindikizwa na kundi kongwe la taarab - East African Melody. Mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Mashauzi ameiambia JAMBO LEO kuwa albam ya “Sura Surambi” inaundwa na nyimbo sita kali.
Isha amezitaja nyimbo hizo kuwa ni pamoja na “Sura Surambi” ...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfTttXfKseE/VlOTGEJSJaI/AAAAAAAIIGs/EnBXsAqAIXI/s72-c/2714b4b8-88e9-459f-bc2f-84a3dc62d605.jpeg)
MASHAUZI CLASSIC KUZINDUA ALBAM YA “SURA SURAMBI†NOVEMBA 26 MANGO GARDEN
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfTttXfKseE/VlOTGEJSJaI/AAAAAAAIIGs/EnBXsAqAIXI/s400/2714b4b8-88e9-459f-bc2f-84a3dc62d605.jpeg)
Albam hiyo kutoka kwao Mashauzi Classic, itazinduliwa ndani ya ukumbi wa Mango Garden Kinondoni huku kundi kongwe la taarab East African Melody, likizindikiza tukio hilo kubwa.
Mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Mashauzi ameuambia mtandao huu kuwa albam ya “Sura Surambi” inaundwa na nyimbo sita kali.
Ni Alhamisi ya kihistoria ambayo Isha ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCsRFU6Ulgv4I0JIWOD4M01FVJuHZQlQdTP6Fgso1NDBKWFQjwJkxUioCvWh9ib1UPN3pg0s2qlkeIxjCI4yKLj/mashauziyamoto.jpg?width=650)
YAMOTO BAND, MASHAUZI KUWASHA MOTO MANGO GARDEN LEO
KWA mara ya kwanza baada ya miaka mingi, ukumbi wa Mango Garden, ulioko Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kupitisha wikiendi bila burudani yoyote, leo usiku ‘utawaka moto’ wakati Yamoto Band na Mashauzi Classic zitakapotoa shoo kabambe hapo. Wasanii wa yamoto band. Ni onyesho ambalo limeteka hisia za mashabiki wa muziki kutokana na ukweli kuwa vikundi hivyo viwili havijawahi kukutana katika katika onyesho la pamoja,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RCTzb8lBGnM/VWan7DSc7ZI/AAAAAAAHaQ4/NZqGy2v65Co/s72-c/mashauzi%2Byamoto.jpg)
MANGO GARDEN NYEUPE WIKI HII, BURUDANI NI MOJA TU …YAMOTO BAND NA MASHAUZI LEO USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-RCTzb8lBGnM/VWan7DSc7ZI/AAAAAAAHaQ4/NZqGy2v65Co/s320/mashauzi%2Byamoto.jpg)
Kesho Ijumaa Malaika Band ambao hupiga hapo Mango kila Ijumaa, watakuwa Arusha mjini. Twanga Pepeta ambao hupiga Mango Garden kila Jumamosi, Jumamosi hii watakuwa Wenge Garden Ukonga.
Bendi ya FM Academia ambayo huibuka Mango Garden na kufukia viraka vya bendi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZpF4kec7xVd2L7H1hp1-exOCtZojfXG*XZvwka5H0wHwTNZndhCm2jl6ehgKVj6J9QSGei2vWR-X1GCyT3Qudy/TWANGAPEPETA5.jpg?width=650)
ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR
Rapa wa bendi hiyo, Frank Kabatano akifanya vitu vyake stejini. Waziri akimmwagia sifa Luiza Mbutu. Baadhi ya wageni waalikwa wakiserebuka.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7u50TbLxNT0tNeDAw0Nrzcohamd07v08T38c6ncGAMBsSMQtY5ssrGmSsyoIpmZLY0Px3MwCRLOqY-LIFWfC1k/1SHOW1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aMZYI63gCX4/VP32rRWRhmI/AAAAAAAHJOM/QB8NDRmZXCk/s72-c/press%2Bpic.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Hatimaye wakurugenzi wa Mashauzi Classic na Jahazi Modern Taarab, wamefanya mkutano na waandishi wa habari na kuthibitisha kuwepo kwa onyesho la pamoja la makundi hayo yenye nguvu katika muziki wa taarab.
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QepgJAF9fB0/UxcnN0DsexI/AAAAAAAFROY/z2vhYGPgPQA/s72-c/download.jpg)
Mnuso MAALUM WA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE MANGO GARDEN Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-QepgJAF9fB0/UxcnN0DsexI/AAAAAAAFROY/z2vhYGPgPQA/s1600/download.jpg)
-Katika kusherehekea siku ya Wanawake Jumamosi hii tarehe 08-03-2014 Bendi yako PENDWA ya Twanga Pepeta ikishirikiana na Mdau wake mkubwa Christer Bella Mwingira na Rukia Saloon, kwa pamoja wameandaa bonge la Pati kwa ajili ya kusherehekea sikukuu hii. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka (pichani), mnuso huo unataraji kufanyika ndani ya Twanga City Mango Garden ambapo muonekano wake utakuwa tofauti na siku za kawaida kwa kuwa ukumbi utapambwa vilivyo.
Amesema Mavazi rasmi yatakuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania