Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Extra Bongo, Yamoto ndani ya Meeda

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level Wazee wa Kimbembe’, Jumamosi hii itaungana na kundi la Yamoto linaloongozwa na Saidi Fela ‘Mkubwa Fela’ kuwasha moto wa burudani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO YAWAKUTANISHA MAFAHARI WATATU MKESHA WA KRISMAS MEEDA

Mwijuma Mumini akiwajibika jukwaani na Bendi ya Extra Bongo kwenye mkesha wa Krismas ndani ya Ukumbi wa meeda Usiku wa kuamkia leo,ambapo bendi hiyo ilikuwa ikifanya makamuzi yake na yeye akiwa ni moja ya watumbizaji. Wacheza shoo wa kiume wa Bendi ya Extra Bongo,wakiwajibika usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salam,katika mkesha wa Krismas.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafahari Watatu ndani ya Extra Bongo

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level’ imewarudisha kinyemela mafahari watatu waliowahi kutamba, Ally Choki, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ na Mwinjuma Muumini katika onesho la mkesha wa...

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO MZIGONI

Choki akiimba kwa mbwembwe huku amekaa. Mnenguaji wa Extra Bongo, Super Nyamwela akiwa amepozi na mdau wa burudani, John Dotto. Choki na vijana wake wakiwa…

 

11 years ago

GPL

BANZA AJISALIMISHA EXTRA BONGO

Na Gladness Mallya BAADA ya kuachishwa kazi kutokana na kunywa pombe, mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejisalimisha na kuanza kufanya mazoezi na bendi hiyo kwa mara nyingine. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akizungumza na paparazi wetu, mkurugenzi wa bendi hiyo, Ally Choki alisema Banza alijisalimisha hivi karibuni na kuanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini apagawisha Extra Bongo

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Muumini Mwinjuma, aliwapagawisha mashabiki wakati akiimbia bendi ya Extra Bongo katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi. Muumini alikuwa kivutio kikubwa pale alipoimba nyimbo zake...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo yapata msiba

MKURUGENZI Msaidizi wa bendi ya Extra bongo, Shuweya Khamis ‘Mama Shushuu’, amefariki dunia jana . Mama Shushuu ambaye pia ni mke wa Mkurugenzi Mkuu wa bendi hiyo Ally Choki amefariki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini awasubiri Extra Bongo Mwanza

MUIMBAJI nguli wa muziki wa dansi nchini, Mwinjuma Muumini anatarajia kuipokea bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ itakapovamia Kanda ya Ziwa katika Sikukuu ya Idd. Kwa mujibu wa Mkurugenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twanga yawaponza wawili Extra Bongo

UONGOZI wa bendi ya Extra Bongo, umewafungashia virago nyota wao wawili; Maria Soloma na Danger Boy kwa utovu wa nidhamu. Nyota hao maarufu kwa kumiliki jukwaa, wamekumbana na rungu hilo baada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini kuwapokea Extra Bongo Mwanza

MUIMBAJI nguli wa muziki wa Dansi hapa nchini, Mwijuma Mumini anatarajia kuipokea bendi ya muziki huo ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ itakapovamia Kanda ya Ziwa katika sikukuu ya Idd....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani