Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXTRA BONGO YAWAKUTANISHA MAFAHARI WATATU MKESHA WA KRISMAS MEEDA

Mwijuma Mumini akiwajibika jukwaani na Bendi ya Extra Bongo kwenye mkesha wa Krismas ndani ya Ukumbi wa meeda Usiku wa kuamkia leo,ambapo bendi hiyo ilikuwa ikifanya makamuzi yake na yeye akiwa ni moja ya watumbizaji. Wacheza shoo wa kiume wa Bendi ya Extra Bongo,wakiwajibika usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salam,katika mkesha wa Krismas.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mafahari Watatu ndani ya Extra Bongo

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level’ imewarudisha kinyemela mafahari watatu waliowahi kutamba, Ally Choki, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ na Mwinjuma Muumini katika onesho la mkesha wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo, Yamoto ndani ya Meeda

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level Wazee wa Kimbembe’, Jumamosi hii itaungana na kundi la Yamoto linaloongozwa na Saidi Fela ‘Mkubwa Fela’ kuwasha moto wa burudani...

 

10 years ago

GPL

EXTRA BONGO YARUDI UPYA, YATAMBULISHA WATATU WAPYA

Mkurugenzi wa bendi hiyo, Ali Choki (aliyeshika karatasi) akizungumza mbele ya waandishi wa habari. Kiongozi wa wanamuziki, Super Nyamwela akizungumza machache kuhusu ujio mpya wa bendi hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS

3Kiota  kipya cha maraha kiitwacho Uefa Goo Night Club kinatarajiwa kuzinduliwa mkesha wa sikukuu ya Krismas jijini Dar es salaam.  Kiwanja hiki ni cha Kisasa kiko maeneo ya Ukonga Mombasa Barabara ya kuelekea Moshi Baa Karibu na njia panda ya Mahita, kiasi cha mita 200 kutoka barabara kuu iendayo Pugu.Wamiliki wanasema  siku ya mkesha wa Krismas burudani kibao zimeandaliwa kuwa wako  katika hatua za mwisho mwisho kukamilisha kila kitu ili kuwapa burudani wateja wake ikiwa ni pamoja na Ligi...

 

9 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI DAR ES SALAAM WANAWAKE 12 WAPATA WATOTO MKESHA WA KRISMAS


Afisa Muuguzi Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam Mwanne Satara akimsaidia kumuelekeza Lulu Mohamed namna ya kumfunika nguo Mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia Krismas Dar es Salaam ambapo akinamama 12 walipata watoto na Mmoja wa akinamama hao alipata mapacha 2 na kufanya watoto wa kiume kufikia 6 na wakike 7, kati yao akinamama waliofanyiwa upasuaji ni akinamama 10 na kati ya hao watoto njiti 2 na Hospitali ya Temeke akina mama waliojifungua hospitalini hapo...

 

10 years ago

Michuzi

KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA UEFA GOO NIGHT CLUB KUZINDULIWA MKESHA WA KRISMAS

3Kiwanja kipya cha maraha Uefa Goo Night Club kinatarajiwa kuzinduliwa mkesha wa sikukuu ya Krismas jijini Dar es salaam Kiwanja hiki ni cha Kisasa kiko maeneo ya Ukonga Mombasa Barabara ya kuelekea Moshi Baa Karibu na njia panda ya Mahitamita 200 kutoka barabara kuu iendayo Pugu, siku ya mkesha wa Krismas burudani kibao zimeandaliwa na na kiko katika hatua za mwisho mwisho kukamilisha kila kitu ili kuwapa burudani wateja wake ikiwa ni pamoja na Ligi mbalimbali za ulaya, muziki wa kisasa kama...

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO MZIGONI

Choki akiimba kwa mbwembwe huku amekaa. Mnenguaji wa Extra Bongo, Super Nyamwela akiwa amepozi na mdau wa burudani, John Dotto. Choki na vijana wake wakiwa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini apagawisha Extra Bongo

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Muumini Mwinjuma, aliwapagawisha mashabiki wakati akiimbia bendi ya Extra Bongo katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi. Muumini alikuwa kivutio kikubwa pale alipoimba nyimbo zake...

 

11 years ago

GPL

BANZA AJISALIMISHA EXTRA BONGO

Na Gladness Mallya BAADA ya kuachishwa kazi kutokana na kunywa pombe, mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejisalimisha na kuanza kufanya mazoezi na bendi hiyo kwa mara nyingine. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akizungumza na paparazi wetu, mkurugenzi wa bendi hiyo, Ally Choki alisema Banza alijisalimisha hivi karibuni na kuanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani