Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXTRA BONGO YARUDI UPYA, YATAMBULISHA WATATU WAPYA

Mkurugenzi wa bendi hiyo, Ali Choki (aliyeshika karatasi) akizungumza mbele ya waandishi wa habari. Kiongozi wa wanamuziki, Super Nyamwela akizungumza machache kuhusu ujio mpya wa bendi hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mafahari Watatu ndani ya Extra Bongo

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level’ imewarudisha kinyemela mafahari watatu waliowahi kutamba, Ally Choki, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ na Mwinjuma Muumini katika onesho la mkesha wa...

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO YAWAKUTANISHA MAFAHARI WATATU MKESHA WA KRISMAS MEEDA

Mwijuma Mumini akiwajibika jukwaani na Bendi ya Extra Bongo kwenye mkesha wa Krismas ndani ya Ukumbi wa meeda Usiku wa kuamkia leo,ambapo bendi hiyo ilikuwa ikifanya makamuzi yake na yeye akiwa ni moja ya watumbizaji. Wacheza shoo wa kiume wa Bendi ya Extra Bongo,wakiwajibika usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salam,katika mkesha wa Krismas.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Barcelona yarudi upya kwa Luiz

>Barcelona imeanza upya harakati za kumfuatilia beki wa Chelsea, David Luiz katika jitihada zao za kuimarisha safu yao ya ulinzi.

 

11 years ago

GPL

BONGO MOVIES YA JOYCE KIRIA YARUDI

 Msanii Pastor Myamba akiwa na crew ya Bongo Movies wakionesha alama ya 5 kama ishara ya kutua EATV hivi karibuni.…

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO MZIGONI

Choki akiimba kwa mbwembwe huku amekaa. Mnenguaji wa Extra Bongo, Super Nyamwela akiwa amepozi na mdau wa burudani, John Dotto. Choki na vijana wake wakiwa…

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz   Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muumini apagawisha Extra Bongo

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Muumini Mwinjuma, aliwapagawisha mashabiki wakati akiimbia bendi ya Extra Bongo katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi. Muumini alikuwa kivutio kikubwa pale alipoimba nyimbo zake...

 

11 years ago

GPL

BANZA AJISALIMISHA EXTRA BONGO

Na Gladness Mallya BAADA ya kuachishwa kazi kutokana na kunywa pombe, mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amejisalimisha na kuanza kufanya mazoezi na bendi hiyo kwa mara nyingine. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. Akizungumza na paparazi wetu, mkurugenzi wa bendi hiyo, Ally Choki alisema Banza alijisalimisha hivi karibuni na kuanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani