Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona yarudi upya kwa Luiz

>Barcelona imeanza upya harakati za kumfuatilia beki wa Chelsea, David Luiz katika jitihada zao za kuimarisha safu yao ya ulinzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

EXTRA BONGO YARUDI UPYA, YATAMBULISHA WATATU WAPYA

Mkurugenzi wa bendi hiyo, Ali Choki (aliyeshika karatasi) akizungumza mbele ya waandishi wa habari. Kiongozi wa wanamuziki, Super Nyamwela akizungumza machache kuhusu ujio mpya wa bendi hiyo.…

 

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI

"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...

 

11 years ago

GPL

LUIZ BELLINI AFARIKI DUNIA

Hilderaldo Luiz Bellini enzi za uhai wake. Nahodha wa kwanza kuipatia timu ya Taifa ya Brazil kombe la dunia mwaka 1958, Hilderaldo Luiz Bellini, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83 kwa maradhi ya moyo!

 

10 years ago

BBCSwahili

David Luiz:'Nimewahi kushiriki ngono'

Mlinzi wa klabu ya PSG David Luiz amevishtumu vyombo vya habari kwa kukosa heshima baada ya kukanusha madai kwamba yeye hajawahi kushiriki katika tendo la ngono.

 

9 years ago

BBCSwahili

Barcelona waanza kwa ushindi

Mabingwa watetezi Barcelona wameanza msimu mpya wa ligi ya Hispania baada ya kuishinda Athletic Bilbao kwa bao moja kwa bila.

 

11 years ago

GPL

KWA TULIPOFIKIA, YATUPASA TUJIANGALIE UPYA

Na Eric Shigongo MARA kwa mara nimekuwa nikisisitiza juu ya suala la kumshukuru Mwenyezi Mungu, nikisema kwamba bila yeye, yote tunayoyafanya hapa duniani ni bure kabisa. Baadhi ya watu, wamekuwa wakiniona kama ninayejifanya nimeokoka. Waziri Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe. Ninaomba kusisitiza, uwe umeokoka, uwe jambazi, uwe vyovyote unavyoweza kuwa, ni lazima umuombe Mungu kwa lolote unalotaka kufanikiwa hapa ulimwenguni....

 

11 years ago

BBCSwahili

Luiz:tuwieni radhi Ujeruman ni timu bora

Nahodha wa Brazil David Luiz amewaomba msamaha mashabiki wao kwa kichapo cha mabao 1-7 dhidi ya Ujerumani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani