Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA TULIPOFIKIA, YATUPASA TUJIANGALIE UPYA

Na Eric Shigongo MARA kwa mara nimekuwa nikisisitiza juu ya suala la kumshukuru Mwenyezi Mungu, nikisema kwamba bila yeye, yote tunayoyafanya hapa duniani ni bure kabisa. Baadhi ya watu, wamekuwa wakiniona kama ninayejifanya nimeokoka. Waziri Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe. Ninaomba kusisitiza, uwe umeokoka, uwe jambazi, uwe vyovyote unavyoweza kuwa, ni lazima umuombe Mungu kwa lolote unalotaka kufanikiwa hapa ulimwenguni....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hillary: Wajumbe Bunge la Katiba tujiangalie upya

>Bunge Maalumu la Katiba limesitishwa kwa muda ili kupisha Bunge la Bajeti ambalo limeanza jana mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Tulipofikia tusiruhusu tena siasa iendeshe uchumi

 “chama kushika hatamu za uongozi”; “chama kimoja”; “zidumu fikra za mwenyekiti”, kwa moyo wa dhati kabisa, lazima niseme kwamba, kwa mtindo huo, Watanzania tutajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

Barcelona yarudi upya kwa Luiz

>Barcelona imeanza upya harakati za kumfuatilia beki wa Chelsea, David Luiz katika jitihada zao za kuimarisha safu yao ya ulinzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni wakati mzuri kwa TFF kujitafakari upya

Kwa muda mrefu sasa, Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara imesimama na kuacha wachezaji K na makocha wa klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo wakiwa likizo ya lazima.

 

10 years ago

Habarileo

Barabara Dar kusukwa upya kwa trilioni 4/-

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.WIZARA ya Ujenzi imepanga kutekeleza miradi ya kupunguza msongamano katika Jiji la Dar es Salaam, itakayogharimu zaidi ya Sh trilioni 4.394 itakapokamilika.

 

10 years ago

Habarileo

Ulipaji pensheni kwa wazee kupitiwa upya

SERIKALI imesema itaupitia mchakato ambao utatoa nafasi kwa wazee kuanza kulipwa pensheni ya kila mwezi baada ya kutoa mchango wao mkubwa wa utumishi kazini.

 

9 years ago

GPL

ROMA KWA HILI UTALOSTI, JIANGALIE UPYA DOGO!

UGUMU wa maisha Bongo umewafanya watu wengine kujitoa ufahamu. Asubuhi na mapema, unamkuta kijana wa Kitanzania amekamata kinywaji chake aina ya kiroba anakunywa, anataka ashinde akiwa hana akili sawasawa, maana hajui jinsi siku yake itakavyoisha. Anapowaona viongozi wakikatisha ndani ya magari ya thamani kubwa, anasema ‘wenye nchi hao bwana, ndiyo wanakula maisha’. Akilini mwake anaamini kabisa kuwa kuna kundi f’lani dogo...

 

11 years ago

GPL

MWAKA UNAISHA, ANZA UPYA KWA MWENZI WAKO!

HUU ni msimu wa sikukuu! Juzi, tumesherehekea Sikukuu ya Krismasi na sasa tunaelekea Mwaka Mpya 2014. Kwa nguvu za Mungu tutafika salama. Ndugu zangu, hebu tutafakari vizuri kuhusu mwaka uliopita na kuangalia cha maana tulichofanya kwa wenzi wetu. Tuliwaumiza au tuliwapa furaha? Je, kupitia kona hii matatizo yameondoka, yamepungua au yameongezeka?  Nimeandika mada nyingi ambazo zimewagusa watu wengi. Ujumbe wenu na simu...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali yashauriwa kuangalia upya kodi kwa shule binafsi

Wadau wa sekta ya elimu nchini,wameishauri serikali kuangalia upya sera yake katika masuala ya kodi kwa shule binafsi ambazo zinakwaza mendeleo ya sekta hiyo huku mzigo mkubwa ukibaki kuzielemea shule hizo pamoja na wazazi.

Wakizungumzia maendeleo ya elimu kwa shule binafsi wadau hao wamesema kazi inayofanyika ni kwa niaba ya serikali kwa kuwasomesha watoto wa watanzania na kuondoa dhana ya kwamba ni eneo la kujitengenezea faida.

Wadau hao akiwemo Mkurugenzi  wa taasisi ya kielimu ya THE...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani