Ni wakati mzuri kwa TFF kujitafakari upya
Kwa muda mrefu sasa, Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara imesimama na kuacha wachezaji K na makocha wa klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo wakiwa likizo ya lazima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Mapumziko ya ligi yatumike kujitafakari
10 years ago
Michuzi16 Sep
TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...
11 years ago
Michuzi
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Barnes:Gerrard bado mzuri kwa Liverpool
10 years ago
Mwananchi15 Aug
Ushauri mzuri wa Membe kwa diaspora umechelewa
9 years ago
StarTV11 Nov
Kukosekana kwa mfumo mzuri kwawanyima haki Watoto.
Kukosekana kwa mfumo mzuri wa ushirikishwaji wa watoto nchini katika masuala ya maendeleo ya halmashauri za miji, majiji na kutotengewa bajeti kumechangia watoto hao kutopata haki zao za msingi.
Kutokana na hali hiyo, viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza, wadau na jamii kwa ujumla wanapaswa kuhakikisha watoto wanapata haki za msingi kwa mujibu wa sheria.
Mwenyekiti mtendaji wa shirika la mtandao wa watoto na vijana mkoani Mwanza Shaban Ramadhan ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na...
5 years ago
MichuziHALMASHAURI YA DODOMA INATARAJIA UFAULU MZURI KWA WANAFUNZI
Kauli hiyo ilitolewa na Ofisa elimu sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuelezea utimilifu wa maandalizi ya mtihani wa kumaliza kidato cha sita mwaka 2020 katika...
11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Uongozi wa StarTimes waishukuru Serikali kwa ushirikiano mzuri inaowapa
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkaribisha ofisini kwake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Star Times Tanzania Bi. Zuhura Hanif leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina yake na uongozi wa Star Times waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO...