Kukosekana kwa mfumo mzuri kwawanyima haki Watoto.
Kukosekana kwa mfumo mzuri wa ushirikishwaji wa watoto nchini katika masuala ya maendeleo ya halmashauri za miji, majiji na kutotengewa bajeti kumechangia watoto hao kutopata haki zao za msingi.
Kutokana na hali hiyo, viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza, wadau na jamii kwa ujumla wanapaswa kuhakikisha watoto wanapata haki za msingi kwa mujibu wa sheria.
Mwenyekiti mtendaji wa shirika la mtandao wa watoto na vijana mkoani Mwanza Shaban Ramadhan ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Aug
BAADA YA KIPIGO CHA SERENGETI BOYS, MALINZI AKIRI UBOVU WA MAANDALIZI NA KUKOSEKANA KWA MFUMO SAHIHI WA SOKA LA VIJANA
![](https://4.bp.blogspot.com/-ID3VTryj8Jg/UmfM952qJhI/AAAAAAAAGy4/Q-FFd97-la4/s640/Jamal+Malinzi%28TFF-PRES+CANDIDATE%29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
JK: Mfumo wa Rais kung’atuka madarakani ni mzuri
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro).
. Unatoa nafasi kwa nchi kupata mawazo na fikra mpya
.Anaamini Tanzania itapata Rais bora zaidi wa kumrithi yeye
. Atamani muda wake umalizike akalee wajukuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa mfumo...
10 years ago
Mwananchi05 Feb
STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Maambukizi mfumo wa juu wa hewa kwa watoto
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Dk. Gama alilia haki ya dini kwa watoto wa kike
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D-ZkN27MQFoG-MfL*q9ZnMtT2vnSMn*9myDvqEMGun2Sr4XJQkye6B2PL8U*IZ4SBOVcAzx9jiEsgponZGaIPDB/unhappymarriage.jpg?width=650)
MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME-2
10 years ago
Vijimambo11 Aug
MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?
![](http://api.ning.com/files/U9cJ436L1lelkpgVfht*dJekLrWiMcZemu4UNNn0D9SOQ*OxJ55vnXJyUn4faokywkxDFP76LLUIw2-bLO2ZsWvAqj3JJH8w/violenceresized.jpg?width=650)
NIJumanne tena, wapenzi wasomaji wangu tunakutana tena katika safu hii ya mapenzi na maisha. Ni safu inayokusudia kutoa elimu kwa wanandoa, wapenzi, wachumba na wengine wanaotarajia kuingia katika meli hiyo ya maisha ya mapenzi.
Mada ya leo inaweza kuwa ngumu kidogo kutokana na ukweli kwamba, inazungumzia misimamo ya taasisi za kutetea haki mbalimbali kujenga hoja ya kuwaambia wanaume wasiwe na mfumo dume.Lakini pia, mada hii itachota baadhi ya vipengele kutoka kwenye vitabu vya dini ili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lf0qyoD2flMkf7SkdW0wfr09SEfgMWPN5ay45T0dTBm7FWCA5B2su375oFh70x4FOI2NSDpnw-Mt-lVGeikcGJ3/unhappyparents.jpg?width=650)
MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?