Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maambukizi mfumo wa juu wa hewa kwa watoto

Msomaji wa kona hii toka Marangu, Kilimanjaro anaeleza kuwa mtoto wake mwenye miezi tisa anaugua mafua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UFAFANUZI JUU YA MALALAMIKO YALIYOTOLEWA NA MH. DUNI JUU YA UWEPO WA VITUO HEWA

ufafanuzi na jinsi ambavyo Kamati ya Maadili ya vyama vyenye wagombea Urais Taifa Ilivyo shughulikia malalamiko toka kwa Mgombea Mwenza wa CHADEMA Ndg J. Duni , kwamba Tume ya taifa ya Uchaguzi imeandaa Vituo vya wapiga kura HEWA zaidi ya 20,000.Viambatanisho 1. Maamuzi ya Kamati 2. Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid

 

11 years ago

Tanzania Daima

ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto

“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...

 

11 years ago

Habarileo

Maambukizi VVU kwa watoto kufikia 5% mwaka 2015

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inalenga kupunguza maambikizi ya virusi vya Ukimwi kwa watoto kutoka asilimia 26 hadi kufikia chini ya asilimia tano ifikikapo 2015.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je shule kufungwa ni suluhu kwa watoto kuepuka maambukizi?

Wakati shule nyingi duniani zikiwa zimefungwa, wazazi sasa wanahangaika kujua nini wanapaswa kukifanya kwa ajili ya kuwalinda watoto wao na nini wasikifanye kwa watoto wao.

 

9 years ago

StarTV

Kukosekana kwa mfumo mzuri kwawanyima haki Watoto.

Kukosekana kwa mfumo mzuri wa ushirikishwaji wa watoto nchini katika masuala ya maendeleo ya halmashauri za miji, majiji na kutotengewa bajeti kumechangia watoto hao kutopata haki zao za msingi.

Kutokana na hali hiyo, viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza, wadau na jamii kwa ujumla wanapaswa kuhakikisha watoto wanapata haki za msingi kwa mujibu wa sheria.

Mwenyekiti mtendaji wa shirika la mtandao wa watoto na vijana mkoani Mwanza  Shaban Ramadhan  ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

WWF YATOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA IDARA ZA HALMASHAURI YA MANSIPAA YA KINONDONI KMC JUU YA KUKABILIANA NA UENEAJI WA HEWA UKAA NA NISHATI JADIDIFU NCHINI

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,Injinia. Mussa Natty (kulia), akifungua semina kwa wafanyakazi wa Halmashauri hiyo Jijini Dar es Salaam kuhusiana na ueneaji wa hewa ukaa na matumizi sahihi ya nishati jadidifu nchini (kushoto), Mratibu wa Shirika Lisilokuwa la Kiserikali WWF.Bw, Asukile Kajuni. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni,Injinia. Mussa Natty akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Halmashauri hiyo mara baada ya kufungua semina. HABARI...

 

10 years ago

Vijimambo

WARSHA YA MFUMO WA KIMATAIFA WA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

Mgeni rasmi, Mkurugenzi Mkuu- TMA Dkt. Agnes Kijazi akipata utambulisho wa washiriki wa warsha ya Mfumo wa Kimataifa wa huduma za hali ya hewa katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa Barani Afrika na uwasilishwaji wa ripoti ya IPCC kama ilivyojadiliwa katika mkutano wa 20 (COP20) wa mabadiliko ya hali ya hewa iliyofanyika, Kibaha. Tarehe 20 Januari 2015.Bi. Juwalia Mshana akiwa mmoja wa washiriki wa warsha ya Mfumo wa Kimataifa wa huduma za hali ya hewa katika kukabiliana...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona

Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.

 

10 years ago

GPL

DALILI ZA MAAMBUKIZI KATIKA MFUMO WA UZAZI

Mama mgonjwa mwenye maambukizi katika mfumo wa uzazi huwa na dalili zisizo na mpaka na mara nyingi huambatana na maumivu ya ghafla ya tumbo. Kama maumivu hayo yamesababishwa na kisonono (gonococcol infection), dalili hutokea mapema sana yaani kati ya siku tatu hadi nne na kama ni wadudu wa Chylamydia huchukua siku tano hadi saba kupata maumivu ya tumbo. Dalili nyingine ni mgonjwa kupata homa pamoja na kichwa kuuma na kutokwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani