Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maambukizi VVU kwa watoto kufikia 5% mwaka 2015

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inalenga kupunguza maambikizi ya virusi vya Ukimwi kwa watoto kutoka asilimia 26 hadi kufikia chini ya asilimia tano ifikikapo 2015.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Tanzania yajipanga kufikia asilimia mbili maambukizi ya VVU 2020

Tanzania ni miongoni mwa nchi za bara la Afrika zilizo kwenye mchakato wa kupunguza maambukizi mapya ya VVU na Ukimwi.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni asilimia 5.7 ya maambukizi halisi wakati mpango huo ukionekana kuzaa matunda tofauti na miaka ya nyuma.

Hata hivyo elimu inahitajika zaidi katika mikoa mbalimbali juu ya matumizi endelevu ya kinga, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja na kusisitiza Jando kwa wanaume ili kufikia mwaka 2020 maambukizi mapya yaweze kufikia chini ya asilimia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto

“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...

 

10 years ago

Michuzi

Watoto 130000 Wanaishi na Maambukizi ya VVU.

Na Johary Kachwamba-MAELEZO.
TAKWIMU zinaonesha kwamba watoto 130000 wana maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI (VVU) kati ya hao 39317 wamefikiwa na kupatiwa huduma ya dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo.


Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dkt. Pindi Chana wakati akifungua kongamano la nne la kitaifa la  VVU na UKIMWI kwa watoto linalofanyika  katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere uliopo jijini Dar-es-salaam. 
Dkt . Chana alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maambukizi ya VVU kwa wajawazito yapungua

MAAMBUKIZI ya virusi vya ukimwi (VVU) kwa wajawazito yamepungua kutoka asilimia 3 hadi 2.3. Hayo yamebainishwa na Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la EGPAF Mkoa wa Tabora, Alphaxard Lwitakubi, alipozungumza...

 

9 years ago

Habarileo

Maambukizi VVU kwa wajawazito Dodoma yapungua

KIWANGO cha maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa wajawazito mkoani hapa kimeshuka kutoka asilimia 1.9 mwaka jana hadi kufikia asilimia 1.3 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya VVU yakithiri kwa wanaojidunga dawa za kulevya

Serikali imetoka takwimu za utafiti wa maambukizi ya ukimwi nchini ukionyesha kuenea kwa kasi zaidi kwa maambukizi mapya ya VVU kwenye makundi maalumu ambayo ni wale wanaotumia dawa za kulevya ,Wanawake wanaofanya biashara ya ngono, na kundi la wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja.

 

11 years ago

Dewji Blog

Tabia na tamaduni hatarishi zinazochangia maambukizi ya VVU kwa Vijana zabainishwa

DSC_0092

 Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akitoa mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ua VVU kwa Vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.

Na Mwandishi wetu

Idadi kubwa ya Vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza kufanya mapenzi katika umri mdogo jambo ambalo linaashiria hatari ya maambukizi ya VVU ikilinganishwa na  idadi ya...

 

11 years ago

GPL

TABIA NA TAMADUNI HATARISHI ZINAZOCHANGIA MAAMBUKIZI YA VVU KWA VIJANA ZABAINISHWA‏

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akitoa mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ua VVU kwa Vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa. Mratibu na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO, Bi. Rose Haji Mwalimu akichangia mada iliyotolewa na Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI… ...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO

Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Iddi Hassan Kimanta kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi huduma ya Option B Plus Mkoani Rukwa jana tarehe 07 Juni, 2014 katika Kijiji cha Tamasenga Wilayani Sumbawanga. Huduma hiyo ina lengo la kutoa tiba ya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto mchanga. Kaulimbiu ya huduma hiyo ikiwa "Amka Sasa Tokomeza VVU kwa Watoto, Kama mjamzito Pima VVU kwa maisha Bora,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani