Maambukizi ya VVU kwa wajawazito yapungua
MAAMBUKIZI ya virusi vya ukimwi (VVU) kwa wajawazito yamepungua kutoka asilimia 3 hadi 2.3. Hayo yamebainishwa na Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la EGPAF Mkoa wa Tabora, Alphaxard Lwitakubi, alipozungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Dec
Maambukizi VVU kwa wajawazito Dodoma yapungua
KIWANGO cha maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa wajawazito mkoani hapa kimeshuka kutoka asilimia 1.9 mwaka jana hadi kufikia asilimia 1.3 mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maambukizi VVU yapungua
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi (VVU), kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kwa asilimia 90. Imeelezwa. Hayo yalisemwa na Meneja wa shirika la EGPAF Mkoa wa Tabora, Dk. Alphaxard...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Maambukizi ya VVU yapungua
TANZANIA imefanikiwa kupunguza viwango vya maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kutoka asilimia 26 mwaka 2009 hadi kufikia asilimia 15 mwaka 2012. Hayo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iebuUbVC__E/U6Fwg6GoS3I/AAAAAAAFrec/mgUW1tTvl04/s72-c/Pix+-1.jpg)
MAAMBUKIZI YA VVU JIJINI DAR ES SALAAM YAPUNGUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iebuUbVC__E/U6Fwg6GoS3I/AAAAAAAFrec/mgUW1tTvl04/s1600/Pix+-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mF4915D-PpE/U6FwiRWw_0I/AAAAAAAFrew/sDprpf-S7nM/s1600/Pix+-2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s72-c/lukuviiii.jpg)
MAAMBUKIZI YA UKIMWI NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 33
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s1600/lukuviiii.jpg)
Na Rose Masaka na Lorietha Laurence-MAELEZO
TANZANIA ni miongoni mwa Nchi ambazo zimeweza kupunguza maambuzi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa asilimia 33.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. William Lukuvi wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukimwi Duniani uliofanyika Melbourne nchini Australia Julai mwaka huu.
Amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kuanza zoezi la kuzuia maambukizi kutoka kwa mama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhlbMvvDmdx7gX4JRjy8HJC-tH03ZlEqnUER2pDIlxqAyVVzDLfnfENzTlseTHB-Blb4PY2pOZ*iSwlvxL8OiCc/PregnancyYeastInfection300x199.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI YA FANGASI KWA WAJAWAZITO
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Maambukizi ya VVU yakithiri kwa wanaojidunga dawa za kulevya
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto
“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...
11 years ago
Habarileo25 Apr
Maambukizi VVU kwa watoto kufikia 5% mwaka 2015
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inalenga kupunguza maambikizi ya virusi vya Ukimwi kwa watoto kutoka asilimia 26 hadi kufikia chini ya asilimia tano ifikikapo 2015.