Tanzania yajipanga kufikia asilimia mbili maambukizi ya VVU 2020
Tanzania ni miongoni mwa nchi za bara la Afrika zilizo kwenye mchakato wa kupunguza maambukizi mapya ya VVU na Ukimwi.
Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni asilimia 5.7 ya maambukizi halisi wakati mpango huo ukionekana kuzaa matunda tofauti na miaka ya nyuma.
Hata hivyo elimu inahitajika zaidi katika mikoa mbalimbali juu ya matumizi endelevu ya kinga, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja na kusisitiza Jando kwa wanaume ili kufikia mwaka 2020 maambukizi mapya yaweze kufikia chini ya asilimia...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Apr
Maambukizi VVU kwa watoto kufikia 5% mwaka 2015
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii inalenga kupunguza maambikizi ya virusi vya Ukimwi kwa watoto kutoka asilimia 26 hadi kufikia chini ya asilimia tano ifikikapo 2015.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s72-c/RTS32VL3.jpg)
LICHA YA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA ASILIMIA 25.00, LESOTHO NI NCHI PEKEE AFRIKA AMBAYO HAIJAKUMBWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s400/RTS32VL3.jpg)
HADI sasa Lesotho haijatangaza kisa cha maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) licha ya majirani zao Afrika kusini kuwa na kesi za Covid-19 zaidi ya elfu saba na vifo zaidi ya mia moja, pia Lesotho inakua nchi pekee kati nchi 54 barani Afrika ambayo haijaripoti maambukizi ya virusi hivyo ila nchi hiyo imeendelea kuchukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kufunga, mipaka, vyuo, shule pamoja na shughuli nyingine...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).
Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_otPAJgKXNY/VX9TGr9-pxI/AAAAAAAHf1M/Y0GVdwXCzVg/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana - Mama Salma Kikwete
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Tanzania yajipanga Olimpiki ya Tokyo 2020
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Benki ya Exim yajipanga kufikia malengo 2016
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkxntoBjZD8/VP3YEwU41kI/AAAAAAAHJKA/apTB9qpP7Kk/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nLQAkCBnRM/VP3YEy7eD4I/AAAAAAAHJKE/yuUUI8PmvSI/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
9 years ago
Habarileo28 Aug
Ufaulu kufikia asilimia 80
BAADA ya kupata mafanikio katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imedhamiria kuongeza kiwango cha ufaulu kwa shule za msingi na sekondari, kutoka asilimia 70 hadi 80 mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z8rG78kepCU/XmD7L-nR-oI/AAAAAAALhPo/YgVYzMnBFEoy9MiCMiGhUF9yCHzfiGdhgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA WAJIVUNIA KUFIKIA MALENGO YA MILENIA 90-90-90 DHIDI YA VVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z8rG78kepCU/XmD7L-nR-oI/AAAAAAALhPo/YgVYzMnBFEoy9MiCMiGhUF9yCHzfiGdhgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VgYgj9XsWAQ/XmD7MqENbSI/AAAAAAALhPs/4aOtqqxT1UA7JURU94KjZL_QTdauUbOugCLcBGAsYHQ/s640/3.jpeg)