Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yajipanga Olimpiki ya Tokyo 2020

Chama cha riadha nchini Tanzania kinakusudia kufanya mkakati wa maandalizi wa miaka 6 kwa michezo ya Olimpiki yaTokyo, Japan mwaka 2020.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yajipanga kwenda Olimpiki:Gofu

Chama cha gofu nchini Tanzania kimetoa kalenda ya mwaka ya 2015 ya michezo

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yajipanga kufikia asilimia mbili maambukizi ya VVU 2020

Tanzania ni miongoni mwa nchi za bara la Afrika zilizo kwenye mchakato wa kupunguza maambukizi mapya ya VVU na Ukimwi.

Mpaka sasa takwimu zinaonyesha ni asilimia 5.7 ya maambukizi halisi wakati mpango huo ukionekana kuzaa matunda tofauti na miaka ya nyuma.

Hata hivyo elimu inahitajika zaidi katika mikoa mbalimbali juu ya matumizi endelevu ya kinga, kuwa mwaminifu kwa mpenzi mmoja na kusisitiza Jando kwa wanaume ili kufikia mwaka 2020 maambukizi mapya yaweze kufikia chini ya asilimia...

 

5 years ago

Japan Today

Tokyo 2020 'G-SATELLITE' carried to International Space Station

Tokyo 2020 'G-SATELLITE' carried to International Space Station  Japan TodaySatellite sends anime characters into space in celebration of Tokyo 2020  Insidethegames.bizSpaceX launches 20th supply mission to International Space Station  WKMG News 6 ClickOrlandoView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Al Jazeera English

Tokyo 2020 postponed as Japan's Abe bows to pressure over virus

Tokyo 2020 postponed as Japan's Abe bows to pressure over virus  Al Jazeera EnglishJapan, IOC agree to postpone 2020 Olympics  The Citizen DailyThe Tokyo 2020 Olympics have been postponed to 2021  CNNAbe, Trump to hold phone meeting on Japan’s Olympics – report  RTTokyo Games moved to 2021 as 'light at end of pandemic tunnel'  ReutersView Full coverage on Google News

 

5 years ago

The Guardian

Tokyo 2020 Olympics in doubt as Canada becomes first team to pull out over coronavirus

Tokyo 2020 Olympics in doubt as Canada becomes first team to pull out over coronavirus  The GuardianCoronavirus: Olympic doubts grow as Canada withdraws athletes  BBC NewsJapanese PM Abe Says Tokyo Does Not Rule Out Postponement of Olympics  Sputnik InternationalOlympic postponement may be 'inevitable', Japan's PM says  The Citizen DailyCanada says no athletes at Tokyo Games if not postponed  Jamaica ObserverView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Sky Sports

Lutalo Muhammad: Taekwondo athlete says Tokyo 2020 training 'feels like limbo'

Lutalo Muhammad: Taekwondo athlete says Tokyo 2020 training 'feels like limbo'  Sky SportsUK and US sports bodies call for Tokyo Olympics cancellation  South China Morning PostOn or off?: Who's saying what over status of 2020 Tokyo Olympics  The Star OnlineCancel Tokyo 2020 today  Asia TimesNorway Olympic body asks IOC to postpone Tokyo Games until pandemic ends  Kyodo News PlusView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Matukio matano ambayo yalitawala bunge la Tanzania 2015-2020

Bunge la 11 la Tanzania (2015-2020) linatamatishwa leo Jumanne Juni 19, huku likiwa limegawanya mitazamo ya wachambuzi wa masuala ya siasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016

>Tanzania haitashiriki michezo ya soka  kimataifa hadi mwaka 2016 kutokana na timu yake ya  vijana  wa umri chini ya miaka 23  kutoshiriki michuano ya kusaka  tiketi ya kushiriki Olimpiki  msimu wa 2015/2016.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAJIPANGA KUWA NCHI YA VIWANDA

Na Saidi Mkabakuli
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.

Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani