TANZANIA YAJIPANGA KUWA NCHI YA VIWANDA
Na Saidi Mkabakuli
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.
Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1NIMfmzeOk/VLbR4paojcI/AAAAAAAG9YM/AqEwoJPRqRc/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Apr
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE.
![AD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD1.jpg)
![AD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD2.jpg)
![AD3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD3.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s72-c/unnamed+(14).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA NISHATI KWA NCHI ZA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ITa1bi0FTN8/U5J05-RvVmI/AAAAAAAFoQo/UFP_VQ6uRVo/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji wa nchi 5 za Afrika Mashariki
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akitoa taarifa ya mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na wakuu wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Machi 25 hadi 26 mwaka huu.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na Marais wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Machi 25 hadi 26 mwaka huu.
Akitoa taarifa ya mkutano huo Mkuu...
11 years ago
MichuziWanamichezo wa Tanzania warejea huku wakiijengea nchi heshima ya kuwa na nidhamu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s72-c/unnamed.jpg1.jpg)
NEWS ALERT: TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAWEKEZAJI NA MARAIS WA NCHI 5 ZA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s1600/unnamed.jpg1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7xWjTRdB_8/VRB18gDheJI/AAAAAAAHMls/A3SYM6P0VhE/s1600/unnamed.jpg2.jpg)