Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman Ali Ahmed Saleh akieleza umuhimu wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC) utakafanyika kwa siku mbili kuanzia Januari 15 hadi 16, 2015 jijini Dar Es Salaam.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kutoka Oman na nchi za Ghuba (GCC) Saeed Saleh Saeed Al Kiyumi (katikati) akizungumza na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s72-c/unnamed+(14).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA NISHATI KWA NCHI ZA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ITa1bi0FTN8/U5J05-RvVmI/AAAAAAAFoQo/UFP_VQ6uRVo/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji wa nchi 5 za Afrika Mashariki
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akitoa taarifa ya mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na wakuu wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Machi 25 hadi 26 mwaka huu.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa wawekezaji (Round Table Investment Forum) na Marais wa nchi 5 za ukanda wa Afrika Mashariki utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia Machi 25 hadi 26 mwaka huu.
Akitoa taarifa ya mkutano huo Mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s72-c/unnamed.jpg1.jpg)
NEWS ALERT: TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAWEKEZAJI NA MARAIS WA NCHI 5 ZA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFtIzdYsxP8/VRB18PMfGqI/AAAAAAAHMlo/aJxdPb10DSI/s1600/unnamed.jpg1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7xWjTRdB_8/VRB18gDheJI/AAAAAAAHMls/A3SYM6P0VhE/s1600/unnamed.jpg2.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Aug
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Historia ya Tanzania na nchi za GCC yawa chachu ya uwekezaji nchini
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akizungumza wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa wafanyabishara kutoka Tanzania na nchi za GCC ambao ulioanza Januari 15 hadi 16 mwaka huu jana jijini Dar es Salaam.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikali ya Tanzania itaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na kuendeleza ushirikiano na mahusiano mzuri uliopo kati yake na nchi zinazounda umoja wa nchi za Ghuba (GCC).
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima...
10 years ago
GPLTANZANIA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA ATAF
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gTrIchdx1Bw/VNMxsCltzJI/AAAAAAAHB4k/XdMom3xAzys/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa Wahasibu
![](http://2.bp.blogspot.com/-gTrIchdx1Bw/VNMxsCltzJI/AAAAAAAHB4k/XdMom3xAzys/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vIEtc_I5T6s/VNMxyCedV7I/AAAAAAAHB4s/s__sQ7vncIo/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-r6IueCwZf3U/VNMx985YLwI/AAAAAAAHB40/E7n9mn1kRHk/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_GrANS25ss/U-kNhLf895I/AAAAAAAF-oU/LVnvF0Vb9dw/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Tanzania mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Utumishi wa Jumuiya ya Madola
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimimwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete.
Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa 12 wa watumishi wa umma wa nchi za Afrika ambazo ni wanachama Jumuiya ya Madola utakaonza Jumatatu ijayo jijini Dar es salaam.
Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimimwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete na kufungwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mheshimiwa Dokta Ali...