Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_GrANS25ss/U-kNhLf895I/AAAAAAAF-oU/LVnvF0Vb9dw/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Na Rose Masaka-MAELEZO Umoja wa Wapiganaji wa Sanaa ya Mapigano Duniani (UPAM) unaandaa shindano la kimataifa la wapiganaji ambalo linatarajiwa kufanyika nchini kati ya Mwezi Desemba mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao kutokana na ruhusa itakayotolewa na Serikali kwa mamlaka zinazohusika. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa UPAM Prof. Maurizi Mardina alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Profesa Mardina amesema kuwa mchezo wa kupigana ni mchezo mzuri ambao unahitaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Aug
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzQdFpe-4qm8uaZbncz4sgQO44Edzq4lGiwsHL5J9LbyXR6vRicoFu0XIstBpPp4i7NQ-ncqK8KhnnTCyZU4EBKD/1.jpg?width=650)
MASHINDANO YA DUNIA YA JUDO, KARATE KUFANYIKA TANZANIA
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA KARATE TANZANIA YAJIANDAA KWENDA ALBANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Michuzi16 Aug
TANZANIA MWENYEJI WA MASHINDANO YA 8 YA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI.
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1NIMfmzeOk/VLbR4paojcI/AAAAAAAG9YM/AqEwoJPRqRc/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB1ATpDIgso/VFaVZokEH5I/AAAAAAAGvGw/Hahl94QhUW0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-goH0lq5j2Fc/VLjwSjWFF_I/AAAAAAABCq4/hEJNk-vuecI/s72-c/DSC_0025.jpg)
MWEYEKITI WA CHUO CHA KARATE NCHINI TANZANIA AOMBA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA MCHEZO WA KARATE
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Rwezaula ameitaka Serikali pamoja na Makampuni yeyote kuusaidia mchezo huo wa Karate,pia ameitaka Serikali kuacha kudhamini michezo mingine kama mpira wa miguu na mashindano ya urembo.
Kwa upande wake, Bingwa wa Dunia katika mchezo wa Karate, Rutashobya Ringo amewataka Watanzania kuwa na nidhamu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji Tamasha la Kimataifa la Lugha na Utamaduni
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMkP_xYitWw/VQKWqX4oI-I/AAAAAAAHKBk/tjb2xOakgbE/s1600/unnamed%2B(5).jpg)