Historia ya Tanzania na nchi za GCC yawa chachu ya uwekezaji nchini
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akizungumza wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa wafanyabishara kutoka Tanzania na nchi za GCC ambao ulioanza Januari 15 hadi 16 mwaka huu jana jijini Dar es Salaam.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikali ya Tanzania itaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na kuendeleza ushirikiano na mahusiano mzuri uliopo kati yake na nchi zinazounda umoja wa nchi za Ghuba (GCC).
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1NIMfmzeOk/VLbR4paojcI/AAAAAAAG9YM/AqEwoJPRqRc/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yYruf1t-f4M/XmuNY3o2c4I/AAAAAAAC8bY/JihAvaiAr9QZVB6ePVHtXVwRY-vSsFllACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU†YAWA CHACHU YA MAENDELEO KWA MNUFAIKA WA TASAF MKOANI SINGIDA
James Mwanamyoto - Singida
Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Manispaa ya Singida, Mtaa wa Sokoine, amesimamia vema Kauli Mbiu ya HAPA KAZI TU ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambayo imemuwezesha kuinua uchumi wa familia yake kupitia ruzuku ya TASAF.
Akitoa ushuhuda jana, mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa ziara ya kamati hiyo...
10 years ago
VijimamboTanzania yawa kivutio katika Maonyesho ya Afrika Mashariki yanayofanyika Nairobi Nchini Kenya
10 years ago
VijimamboSEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI
10 years ago
Michuzi01 Nov
SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MCC, Makampuni 10 ya Kimarekani yamaliza ziara ya kuangalia fursa za biashara na uwekezaji nchini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpPiwp-M3bE/VXOLK4LB4RI/AAAAAAAHcqA/HcVrRsvUGPI/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sS9ZZTusDEg/XmM4hiiLinI/AAAAAAALhrM/YVkVHkyT35sm3R5wB2N012XSmFf-XUjFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B14.06.49.jpeg)
Ubalozi wa Tanzania nchini India washirikiana na “Air Tanzania†kufanikisha Kongamano la Biashara na Uwekezaji Jijini Mumbai
![](https://1.bp.blogspot.com/-sS9ZZTusDEg/XmM4hiiLinI/AAAAAAALhrM/YVkVHkyT35sm3R5wB2N012XSmFf-XUjFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B14.06.49.jpeg)
Pamoja na mambo mengine kongamano hilo lililenga...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, afanya mahojiano na gazeti la Gulf Today kuhusu kuvutia uwekezaji na kukuza utalii nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Ubalozi Mdogo umejiwekea utaratibu katika mpango wake wa mwaka, kuandaa kongamano za uwekezaji tatu kwa kila mwaka.
Ni imani kuwa mpango huu utasaidia kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania na kuvutia idadi kubwa ya watalii...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania