Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia ni ufafanuzi wa kina na uwazi wa fulsa unayoitafutia mwekezaji...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia...

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia ni ufafanuzi wa kina na uwazi wa fulsa unayoitafutia mwekezaji...

 

10 years ago

Vijimambo

6TH ANNUAL JULIUS K. NYERERE COMMEMORATION YAFANYIKA CAPITOL HEIGHTS MARYLAND NCHINI MAREKANI

Bwana na Bibi Rick Tingling wakiwashukuru watu kwa kuja kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ambayo hiyo jana siku ya Jumapili Novemba 2, 2014 ilikua ni kumbukumbu ya 6 tangia bwn. Rick Tingling alipoanzisha kumbukumbu za Mwalimu Nyerere mwaka 2009 hapa DMV. Yeye bwn. Tingling ni Mmarekani aliyemjua Mwalimu Nyerere kwa kusoma vitabu vyake na kuanza kumfuatilia na kutambua kwamba Mwalimu Julius Nyerere ni kiongozi asiyekua na mfano na ambaye huwezi kumlinganisha na kionozi yeyeyote...

 

10 years ago

Vijimambo

WAWEKEZAJI WAMAREKANI WATUA TANZANIA KUTIZAMA FULSA ZA UWEKEZAJI

Baadhi ya Marais,Wenyeviti na Wakurugenzi wa Makampuni mbalimbali ya nchini Marekani waliokuja nchini kwa lengo la kutizama fursa za uwekezaji.Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Washington DC,Suleiman Saleh (katikati) akibadilishana mawazo na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kufua Umeme ya TANASI ,William Crawford.Ziara hiyo inayo ratibiwa na Ubalozi wa Tanzania,Washington DC ni ya siku ambapo wageni hao wataembelea sehemu mbalimbali kujionea fursa za uwekezaji.Afisa Ubalozi wa Tanzaini...

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA UWEKEZAJI YA BENKI YA CRDB YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Kigoma Malima akifungua semina ya uwekezaji ya Benki ya CRDB iliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha wadau wawekezaji katika sekta ya fedha. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa semina ya uwekezaji ya Benki ya CRDB iliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha wadau wawekezaji katika sekta ya fedha.  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Martin Mmari akizungumza wakati wa semina...

 

10 years ago

Vijimambo

SOUTHERN AFRICA BAZAAR YAFANYIKA SILVER SPRING, MARYLAND MAREKANI

 Mdau kutoka Uganda akiwa kwenye maonesho yaliyobeba jina la  Southern Bazaar yaliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 8, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani nchi nyingi kutoka kusini mwa Afrika zilishiriki ikiwemo Tanzania. Mdau mwakilishi kutoka Lesotho akiwakilisha nchini yake kwenye maonesho hayo ya Southern Bazaar yaliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 8, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani. Wawakilishi wengine kutoka nchi kusini mwa Afrika wakiwa kwenye maonesho ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HITMA YA JAMILA SIMBA SAKAPALA WHEATON, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Hitma ya Marehemu Jamila Simba Sakapala iliyofanyika Jumamosi Januari 17, 2014 Wheaton, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu jamaa na marafiki. Marehemu Jamila alifariki ghafla siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 Tanzania na kuzikwa Jumatatu Desemba 15, 2014 watatu toka kushoto ni dada ya marehemu Zawadi Sakapala anayeishi Maryland nchini Marekani.Wapili toka kulia ni kaka ya marehemu Simba Sakapala akiongea na mchungaji John Mbatta (mwenya miwani) siku ya Jumamosi Januari 17, 2015...

 

10 years ago

Vijimambo

SALA YA EID ILIOSALIWA KATIKA JIMBO LA MARYLAND NCHINI MAREKANI

Mmoja wa viongozi wa msikiti wa MCC katika jimbo la Maryland nchini Marekani, akielezea maendeleo ya msikiti  katika huduma za afya ,shuke na utanuzi wa msikiti
 IMAM AKITOA MUONGOZO WA SALA YA EID ITAKAVYOSALIWA IKIFUATIWA NA GHUTBA
 KATIKATI, ALMAARUFU DULA MAKEO, NA MBALI KIDOGO UBAVUNI KWAKE NI MOHAMED LODI NA WAUMINI WENGINE WAKIFUATILIA KWA MAKINI MAELEKEZO YA SHEIKH AMBAYE HAYUPO PICHANI






























 

10 years ago

Vijimambo

BABY SHOWER YA PRISCA CAPITOL HEIGHTS, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Prisca na Elius wakiwa katika picha ya pamoja na watoto katika sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Prisca na Elius wakipokea zawadi kwenye sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland.Elius na Prisca wakipata chakula.Prisca akipata ukodak moment na wageni wake.Watoto wakitoa baraka kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani