Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yajipanga kwenda Olimpiki:Gofu

Chama cha gofu nchini Tanzania kimetoa kalenda ya mwaka ya 2015 ya michezo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yajipanga Olimpiki ya Tokyo 2020

Chama cha riadha nchini Tanzania kinakusudia kufanya mkakati wa maandalizi wa miaka 6 kwa michezo ya Olimpiki yaTokyo, Japan mwaka 2020.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kushiriki gofu Brazil 2016

Chama cha gofu Tanzania (TGU) kimesema kuwa kitashiriki michuano ya Olimpiki itakayofanyika huko Rio de Janeiro, Brazil mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaelemewa gofu ya vijana Afrika

Tanzania imeshindwa kushiriki michuano ya gofu ya Afrika ya vijana nchini Lusaka, Zambia kutokana na wachezaji wake kuwa shuleni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Kenya kushiriki ya gofu Namibia

Michuano ya gofu ya Afrika itakafanyika Windhoek, Namibia Tanzania na Kenya zinatarajiwa kushiriki.

 

10 years ago

Mwananchi

Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016

>Tanzania haitashiriki michezo ya soka  kimataifa hadi mwaka 2016 kutokana na timu yake ya  vijana  wa umri chini ya miaka 23  kutoshiriki michuano ya kusaka  tiketi ya kushiriki Olimpiki  msimu wa 2015/2016.

 

11 years ago

Michuzi

VILABU SABA VYA GOFU KUKUTANA TANZANIA OPEN K-VANT GIN GOLF CO-OPERATE TOURNAMENT 2014

Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin akimuonesha uwanja utakaotumika kwa mashindano hayo Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd kanda ya kaskazini ,Edmund Rutaraka. Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAJIPANGA KUWA NCHI YA VIWANDA

Na Saidi Mkabakuli
Serikali imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka wa fedha 206/2017 ili kuongeza kasi ya kufikia lengo la Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo imedhamiria kuifikisha Tanzania kuwa nchi yenye hadhi ya kipato cha kati na kuondokana na umaskini kufikia mwaka 2025.

Akizungumza wakati wa kuwakaribisha Ugeni kutoka Tume ya Mipango na Maendeleo ya China, Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na Mahusiano ya Kiuchumi, Bw. Paul...

 

10 years ago

GPL

MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI

Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu. Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia. (Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)…

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI LEO

Walimu waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu.Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia.Watoto wenye ulemavu wa akili wakiwa katika picha na  wazazi, pamoja na walimu wao baada ya kumaliza mafunzo  ya mwezi mmoja ya Olimpiki Maalumu Tanzania  yaliyofikia tamati wilayani Temeke Dar es Salaam leo.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani