Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania,Kenya kushiriki ya gofu Namibia

Michuano ya gofu ya Afrika itakafanyika Windhoek, Namibia Tanzania na Kenya zinatarajiwa kushiriki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kushiriki gofu Brazil 2016

Chama cha gofu Tanzania (TGU) kimesema kuwa kitashiriki michuano ya Olimpiki itakayofanyika huko Rio de Janeiro, Brazil mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya,Namibia zafuzu,Tanzania chini

Michuano ya Afrika ya kriketi ya Daraja la 1( T20) imemalizika nchini Afrika ya Kusini Namibia na Kenya zikifuzu kucheza .

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA TATU WA MAENDELEO ENDELEVU YA MIJI NA MAKAZI DUNIANI NCHINI KENYA

Ujumbe wa Tanzania Kwenye Kamati ya maandalizi ya Mkutano wa tatu wa Maendeleo endelevu ya Miji na Makazi Duniani (HABITAT 3) unaofanyija jijini Nairobi nchini Kenya. Ujumbe huo unaongozwa na Naibu katibu Mkuu,Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi Dkt.Seleseid D.Mayunga (MBELE KULIA). Wengine pichani ni Maafisa waandamizi wa serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raga;Kenya yaishinda Namibia 29-22

Kenya imeshinda Namibia 29-22 katika mchuano wa kufuzu kwa kombe la dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaelemewa gofu ya vijana Afrika

Tanzania imeshindwa kushiriki michuano ya gofu ya Afrika ya vijana nchini Lusaka, Zambia kutokana na wachezaji wake kuwa shuleni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yajipanga kwenda Olimpiki:Gofu

Chama cha gofu nchini Tanzania kimetoa kalenda ya mwaka ya 2015 ya michezo

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kushiriki kombe la walemavu

Kenya na Ghana ni mataifa ya yatakayoshiriki kwenye mashindano ya kombe la dunia ya kandanda ya walemavu nchini Mexico mwezi ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yakanusha kushiriki udanganyifu

Shirikisho la riadha la Kenya limekanusha kushiriki udanganyifu na njama ya kuficha matumizi ya madawa haramu ya kuongeza nguvu mwilini

 

11 years ago

BBCSwahili

Nyota wa Kenya kushiriki mbio Bahamas

Janeth Jepkosgei atawakilisha Kenya nchini Bahamas mwezi ujao. Na John Nene

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani