Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yakanusha kushiriki udanganyifu

Shirikisho la riadha la Kenya limekanusha kushiriki udanganyifu na njama ya kuficha matumizi ya madawa haramu ya kuongeza nguvu mwilini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Serikali yakanusha kuzuia watumishi kushiriki siasa

SERIKALI imekanusha kupiga marufuku ushiriki wa watumishi na rasilimali za umma katika kampeni za kisiasa na kuwataka Watanzania kupuuza upotoshaji huo. Aidha imesema kinachokatazwa ni ushiriki usiofuata utaratibu na kubainisha kwamba kiongozi wa serikali (Mkuu wa Wilaya ama Mkoa) akiwa katika kutekeleza majukumu yake katika maeneo hayo, hazuiwi kutumia vitendea kazi vyake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge Kenya kukomesha 'udanganyifu'

Bunge nchini Kenya limeidhinisha mfumo mpya wa kisasa wa kuwatambua wabunge wanaohudhuria vikao bungeni kwa kutumia alama za vidole vyao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Udanganyifu wa mechi wakumba soka Kenya

Uchunguzi uliofanywa umeelezea vile walaghai wa kimataifa huwahonga marefa,wachezaji na maafisa wa mashirikisho

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kushiriki kombe la walemavu

Kenya na Ghana ni mataifa ya yatakayoshiriki kwenye mashindano ya kombe la dunia ya kandanda ya walemavu nchini Mexico mwezi ujao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nyota wa Kenya kushiriki mbio Bahamas

Janeth Jepkosgei atawakilisha Kenya nchini Bahamas mwezi ujao. Na John Nene

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Kenya kushiriki ya gofu Namibia

Michuano ya gofu ya Afrika itakafanyika Windhoek, Namibia Tanzania na Kenya zinatarajiwa kushiriki.

 

9 years ago

Michuzi

MSANII WA KENYA SARA K KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBE AMANI HAPA NCHINI

 Mwenyekiti wa kamati  Maandalizi ya Tamasha la Amani, Alex Msama amesema  washiriki wa tamasha hilo ni waimbaji mbalimbali wa injili kama Solomon Mkubwa, Rose Mhando, Upendo Nkone, Boniface Mwaitege, kwaya ya  KKT ya  Dar es Salaam pamoja na kwaya mojawapo kutoka Iringa, amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.Kulia niKatibu mkuu wa makanisa ya Kipendekote Askofu, David Mwasota akizungumza kuhusiana na tamasha hilo kuwa wananchi wakitokeze kwa wingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani