Serikali yakanusha kuzuia watumishi kushiriki siasa
SERIKALI imekanusha kupiga marufuku ushiriki wa watumishi na rasilimali za umma katika kampeni za kisiasa na kuwataka Watanzania kupuuza upotoshaji huo. Aidha imesema kinachokatazwa ni ushiriki usiofuata utaratibu na kubainisha kwamba kiongozi wa serikali (Mkuu wa Wilaya ama Mkoa) akiwa katika kutekeleza majukumu yake katika maeneo hayo, hazuiwi kutumia vitendea kazi vyake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Kenya yakanusha kushiriki udanganyifu
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Serikali ya Mapinduzi ZNZ yakanusha wawakilishi kuihusisha serikali ya oman na upotevu wa nyaraka za serikali
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed.
Na MAELEZO ZANZIBAR
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMEKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KWAMBA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WALIIHUSISHA SERIKALI YA OMAN NA UPOTEVU WA NYARAKA ZA SERIKALI.
HAYO YAMEELEZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR MOHAMED ABOUD MOHAMED KATIKA TAARIFA YAKE ALIYOITOWA KWA VYOMBO VYA HABARI.
TAARIFA HIYO IMESEMA HAKUNA HATA MJUMBE...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Shiuma yakanusha kujihusisha na siasa
SHIRIKA la Umoja wa Machinga Tanzania (Shiuma), lenye makao yake makuu mkoani hapa limekanusha uvumi wa kujihusisha na baadhi ya vyama vya siasa nchini. Kauli hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti...
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-imdStFj0j7Y/VSt2WqQSW_I/AAAAAAAAcdk/T3r8styzKJ8/s72-c/FullSizeRender-4.jpg)
Waziri Membe KUSHIRIKI MKUTANO WA KUZUIA UHALIFU NA HAKI ZA WAHALIFU Nchini Quatar
![](http://1.bp.blogspot.com/-imdStFj0j7Y/VSt2WqQSW_I/AAAAAAAAcdk/T3r8styzKJ8/s1600/FullSizeRender-4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0slHpXh-A50/VSt2W7f0RMI/AAAAAAAAcdo/ZqHNXwMbJC4/s1600/FullSizeRender-3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YYPLjiscgvU/VSt2YChheeI/AAAAAAAAcdw/aFW6pAeJtfw/s1600/FullSizeRender.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KlX-qr4GgsU/VlxiUl-0yKI/AAAAAAAIJUg/8pnoMtCZnys/s72-c/Asa%2BMwambene.jpg)
Watumishi wa Umma watakiwa kushiriki zoezi la usafi disemba 9
![](http://3.bp.blogspot.com/-KlX-qr4GgsU/VlxiUl-0yKI/AAAAAAAIJUg/8pnoMtCZnys/s400/Asa%2BMwambene.jpg)
Serikali imewaagiza watumishi wa umma kushiriki zoezi la usafi wa nchi litakalofanyika tarehe 9 disemba mwaka huu katika maeneo yao wanaoishi.
Agizo hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw Assah Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijin Dar es salaam na kusema kwamba Watumishi wa Umma wanatakiwa wabaki nyumbani na kufanya usafi katika maeneo yao na yale watakayo pangiwa na viongozi wa mitaa wanayoishi.
“Kila mwananchi ahakikishe...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s72-c/index.jpg)
MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s1600/index.jpg)
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s72-c/index.jpg)
MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s1600/index.jpg)
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...