Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA.

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili –MNH-  imetoa  mafunzo kwa watumishi wake kudhibiti  ugonjwa wa kipindupindu   ambao  umesambaa na kusababisha watu 989 kuambukizwa  ugonjwa  huo  jijini Dar es salaam.
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu  yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea  mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili –MNH-  imetoa  mafunzo kwa watumishi wake kudhibiti  ugonjwa wa kipindupindu   ambao  umesambaa na kusababisha watu 989 kuambukizwa  ugonjwa  huo  jijini Dar es salaam.
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu  yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea  mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yatoa mafunzo kwa wataalamu wake

Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi imeendesha mafunzo kwa walimu ,wataalam wanaosimamia wanafunzi wa fani ya ununuzi na ugavi wanaofanya tafiti kama sehemu ya mafunzo yao ya stashahada ya ununuzi na ugavi. 
Mafunzo hayo yalifunguliwa jana, na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, Bw, Aziz Kilonge, ambaye aliwaasa wataalam hao kuhakikisha kwamba wanasimamia wanafunzi kwa ukamilifu ili kuongeza ubora wa kazi za utafiti zinazofanywa. 
Aidha, alifafanua kuwa uzingatiaji wa maadili katika kufanya...

 

9 years ago

StarTV

Watu 192 wafariki, 12,222 waambukizwa Ugonjwa Wa Kipindupindu nchini

Watanzania 196 wamefariki dunia nchini mwaka huu kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Kipindupindu.

Idadi hiyo inatokana na wananchi 12,222 waliougua ugonjwa huo katika mikoa 20 ya Tanzania.

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utoaji wa Huduma za Kinga katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Vincent Assey, wakati wa mafunzo maalum ya kipindupindu kwa Waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Mkoa wa Mbeya umefanikiwa kumaliza tatizo hilo licha...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI MAKURU AFUNGUA MAFUNZO MAALUM YA HUDUMA KWA WATEJA KWA WATUMISHI WA MAHAKAMA YA TANZANIA.

 Watumishi wa Kada mbalimbali wa Mahakama ya Tanzania waliohudhuria mafunzo ya Huduma kwa wateja ili kuweza kuwajengea ujuzi na ufanisi katika kazi mahakamani. Mhe. Jaji Crescencia Makuru, Jaji Mfawidhi Kanda ya Dodoma, akifungua rasmi mafunzo maalumu ya Huduma kwa Wateja kwa watumishi wa Mahakama ya Tanzania, leo mkoani Dodoma. Mhe. Jaji Crescencia Makuru, Jaji Mfawidhi Kanda ya Dodoma, (aliyeketi wa pili toka kushoto), Nurdin Ndimbe, Mkuu wa Kitengo cha Habari, Mahakama ya Tanzania, (wa...

 

9 years ago

Michuzi

SEKRETARIETI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA BIASHARA HARAMU YA BINADAMU YATOA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI

Afisa Mwandamizi kutoka Sekretarieti ya kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Alex Lupiya akitoa mada kuhusu Dhana ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu wakati wa semina kwa waandishi wa vyombo vya habari nchini iliyofanyika makao makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Jijini Dar es Salaam. Afisa Uchunguzi Mkuu kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Misingi ya Utawala Bora, Joshua Taramo akitoa mada kuhusu Mikakati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu wakati wa semina kwa waandishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA HUDUMA ZA MKOBA WA UZAZI YAMALIZIKA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Ulla Muller (kushoto) akielezea jambo wakati akifunga mafunzo ya awali ya IT kwa watumishi wa huduma za MKOBA wa uzazi wa mpango kutoka Mikoa mbalimbali nchini Tanzania.hafla hiyo ya ufungaji mafunzo ilifanyika 2 Agositi 2014 katika chuo cha CBE jijini Dar es Salaam, wakwanza kulia Mhadhiri Msaidizi (ICT), Godfrey Mwandosya, Mkuu wa Idara ya Tekenolojia ya Habari na Mawasiliano.Alex Mwijika, Kaimu Mkuu wa Idara Mathematics (ICT), Nzomwe Mazana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Serengeti yatoa mafunzo kwa wahudumu wa Bar kwa mikoa ya Tanzania Bara

DSCN9486

Meneja wa chapa wa vinywaji vikali wa Serengeti Breweries Limited, Shomari Shija (wa nne kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).

..Diaegeo Master Bar Academy (MBA)   kwa udhamini wa Smirnoff

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Kampuni ya Bia ya Serengeti (Serengeti Breweries Limited) kupitia kampuni mama ya  Diaegeo  imeweza kufanya mafunzo ya namna ya kutoa huduma bora ya kuhudumia wateja kupitia vinywaji mbalimbali ikiwemo vinywaji vikali (Spirit) kwa Wahudumu wa Bar ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DEP yatoa mafunzo kwa Polisi

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Programu ya Maendeleo (UNDP) kupitia Mradi wa Uwezeshaji Demokrasia (DEP) wenye thamani ya dola milioni 22 za Marekani, umezindua programu ya mafunzo ya kina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baclays yatoa mafunzo kwa wanafunzi

BENKI ya Barclays tawi la Iringa imetoa mafunzo ya utunzaji fedha kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Highlands ya mjini hapa  kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuhifadhi fedha sehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani