Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEP yatoa mafunzo kwa Polisi

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Programu ya Maendeleo (UNDP) kupitia Mradi wa Uwezeshaji Demokrasia (DEP) wenye thamani ya dola milioni 22 za Marekani, umezindua programu ya mafunzo ya kina...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Serengeti yatoa mafunzo kwa wahudumu wa Bar kwa mikoa ya Tanzania Bara

DSCN9486

Meneja wa chapa wa vinywaji vikali wa Serengeti Breweries Limited, Shomari Shija (wa nne kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).

..Diaegeo Master Bar Academy (MBA)   kwa udhamini wa Smirnoff

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Kampuni ya Bia ya Serengeti (Serengeti Breweries Limited) kupitia kampuni mama ya  Diaegeo  imeweza kufanya mafunzo ya namna ya kutoa huduma bora ya kuhudumia wateja kupitia vinywaji mbalimbali ikiwemo vinywaji vikali (Spirit) kwa Wahudumu wa Bar ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baclays yatoa mafunzo kwa wanafunzi

BENKI ya Barclays tawi la Iringa imetoa mafunzo ya utunzaji fedha kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Highlands ya mjini hapa  kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuhifadhi fedha sehemu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yatoa fursa kwa ziara za mafunzo

KAMPUNI ya Vodacom imetoa fursa kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali kuifanya kuwa sehemu ya ziara za mafunzo yakiwemo ya huduma za mawasiliano ya simu, masuala ya ajira, na Teknolojia ya...

 

10 years ago

GPL

BASATA YATOA MAFUNZO KWA WASANII‏

Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA Godfrey Mngereza (Kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wasanii wa batiki yaliyoanza mapema wiki hii kwenye Ofisi za Baraza hilo zilizoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujereum Bi. Eleonore Sylla na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni  Bi. Leah Ruhimbi .
...

 

10 years ago

GPL

TAMISEMI YATOA MAFUNZO KWA WAKUU WA WILAYA WAPYA

Waziri kutoka Ofisiya Waziri Mkuu TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia akizungumza mapema hii leo katika siku ya kwanza ya mafunzo ya Wakuu wa Wilaya wapya ishirini na saba yanayoendelea katika ukumbi wa hoteli ya St. Gaspar mjini Dodoma. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa ambaye pia ni Mkuu wa Mkoawa Mbeya Mh. Abbas Kandoro, Naibu Waziri wa TAMISEMI Mh. Aggrey Mwanri, Katibu Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne A. Sagini na Naibu Katibu Mkuu...

 

10 years ago

Michuzi

TMF yatoa mafunzo kwa wanahabari wa Sauti ya mnyonge

Mratibu wa mradi wa ruzuku kwa waandishi wa habari wa mfuko wa waandishi wa habari nchini (TMF) Danstan Kamanzi akizungumza jana mjini Dodoma na kikundi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za wasiosikika (Sauti ya mnyonge) kwenye mafunzo ya siku tano ya kuandika habari za mitandao ya jamii yanayofanyika Dodoma hotel. Miongoni mwa waandishi wa habari 17 wa kikundi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za wasiosikika (Sauti ya mnyonge) wakiwa mjini Dodoma kwenye mafunzo ya siku...

 

10 years ago

GPL

FRAT ILALA YATOA MAFUNZO YA UKOCHA KWA VIJANA 28

Mwamuzi mstaafu wa Fifa, Omary Abdulkarim akiwaelekeza wanafunzi hao. Wanafunzi wakiwa…

 

11 years ago

GPL

VODACOM YATOA MAFUNZO NAMNA YA KULIPIA MAFUTA KWA M PESA

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiwapa mafunzo wahudumu wa kituo cha mafuta cha OilCom kilichpo katika makutano ya barabara ya Libya na Morogoro jijini Dar es salaam juu ya namna ya wateja wanaojaza mafuta kituoni hapo wanavyoweza kulipia kwa njia ya M-pesa. Huduma ya malipo kwa M-pesa inapatikana pia kwenye vituo vya OilCom vya TMJ Msasani na Kipawa. Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akimjulisha...

 

11 years ago

Michuzi

TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR

Taasisi isiyo ya kiserikali ya TAI - Tanzania Aspiration Initiatives imefanya mafunzo ya kulinda afya kwa vitendo kwa wanafunzi Zaidi ya 200 wa Darasa la Kwanza, la pili na darasa la awali katika shule ya msingi Kilimani iliyopa Sinza Uzuri wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa miradi miwili inayojulikana kama Mikono Ming’avu (MiMi) na Kinywa Kisafi (KiKi).
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani