Serikali ya Mapinduzi ZNZ yakanusha wawakilishi kuihusisha serikali ya oman na upotevu wa nyaraka za serikali
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed.
Na MAELEZO ZANZIBAR
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMEKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KWAMBA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WALIIHUSISHA SERIKALI YA OMAN NA UPOTEVU WA NYARAKA ZA SERIKALI.
HAYO YAMEELEZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR MOHAMED ABOUD MOHAMED KATIKA TAARIFA YAKE ALIYOITOWA KWA VYOMBO VYA HABARI.
TAARIFA HIYO IMESEMA HAKUNA HATA MJUMBE...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
11 years ago
Mwananchi07 May
Bila Serikali ya Umoja ZNZ ni machafuko
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Serikali kudhibiti upotevu wa maji
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Serikali ya Umoja wa Kitaifa yairejesha ZNZ katika ustaarabu
10 years ago
StarTV03 Dec
Upotevu wa dawa, Serikali kuwachukulia hatua wanaosababisha.
Na Abdallah Tilata,
Mwanza.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta Kebwe Steven Kebwe amesema serikali itawachukulia hatua viongozi wa mikoa na wilaya zote nchini watakaoshindwa kudhibiti mianya ya upotevu wa dawa zinazosambazwa katika maeneo yao.
Takwimu zinaonyesha asilimia 40 ya dawa zinazopelekwa katika hospitali mbalimbali nchini zinafikia kwenye mikono isiyo salama hali inayoendelea kuigharimu serikali kuagiza dawa nje ya nchi.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dokta...
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Nyaraka nyeti za Serikali ya Zanzibar zaibwa
10 years ago
Michuzi
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YAKANUSHA WANYAMA KUTOROSHWA NCHINI

Katibu Mkuu wa Wizara Maliasili na Utalii, Dkt. Adelhelm Meru (Pichani) ameziita habari hizo kuwa za uongo, uzushi na uchochezi.
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Dkt. Meru alisema jambo hilo si la kweli na linalenga kuleta chuki dhidi ya serikali.
“Picha zile zimetolewa...
10 years ago
StarTV07 Nov
Serikali yakanusha biashara ya pembe za ndovu
Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya meno ya tembo kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China.
Serikali ya nchi hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya meno ya tembo.
Inadaiwa kwamba raia wa China walitumia ziara ya rais wao nchini humo kusafirisha...