Bila Serikali ya Umoja ZNZ ni machafuko
Bila shaka wananchi wengi wa pande zote mbili za Muungano watakuwa wameshtushwa na kauli ya mnadhimu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Salmin Awadh Salmin kwamba wawakilishi wa chama chake cha CCM wanajiandaa kuwasilisha hoja binafsi kwenye Baraza hilo ili kuwapa nafasi wananchi kuulizwa iwapo wanataka kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) au vinginevyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Serikali ya Umoja wa Kitaifa yairejesha ZNZ katika ustaarabu
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Serikali ya Mapinduzi ZNZ yakanusha wawakilishi kuihusisha serikali ya oman na upotevu wa nyaraka za serikali
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed.
Na MAELEZO ZANZIBAR
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMEKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KWAMBA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WALIIHUSISHA SERIKALI YA OMAN NA UPOTEVU WA NYARAKA ZA SERIKALI.
HAYO YAMEELEZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR MOHAMED ABOUD MOHAMED KATIKA TAARIFA YAKE ALIYOITOWA KWA VYOMBO VYA HABARI.
TAARIFA HIYO IMESEMA HAKUNA HATA MJUMBE...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watabiri machafuko chaguzi serikali za mitaa
MAKUNDI maalumu katika jamii mkoani hapa, yametabiri machafuko ya kisiasa kutokea nchini katika chaguzi zijazo za serikali za mitaa. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa watu wenye ulemavu wa ngozi mkoani...
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Bila ya umoja wa kitaifa tunaelekea kubaya
11 years ago
Dewji Blog30 May
Dkt. Bila afungua mkutano wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa nchi za maziwa makuu na nchi majirani za umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA)
kamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA NCHI MAJIRANI ZA UMOJA WA KUDHIBITI SILAHA NDOGO (RECSA).
![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s1600/02.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Afghanistan kubuni serikali ya umoja
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Libya kuunda serikali ya Umoja?
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya