Bila ya umoja wa kitaifa tunaelekea kubaya
Kwa hali ilivyo Tanzania inahitaji chombo cha kujenga umoja. Lakini kisiwe chini ya vyama vya siasa, dini, ukanda wala ukabila.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya
11 years ago
Habarileo08 Jan
UNDP yapongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa
MWAKILISHI wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) amepongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar kwa kuondosha siasa za chuki na uhasama kwa wananchi wa Zanzibar na kufungua ukurasa mpya wa maelewano.
11 years ago
Habarileo10 May
‘Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri’
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri na kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Chadema Z’bar yakosoa umoja wa kitaifa
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar yaparaganyika
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Nani adui wa umoja wetu wa kitaifa?
HAKUNA taifa linaloweza kusimama bila ya kuwa na umoja wa kitaifa. Tanzania imesimama imara hadi leo hii kwa sababu ya umoja wa kitaifa uliojengwa na waasisi wa taifa letu. Tunasifiwa...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
UMOJA WETU WA KITAIFA UKIPUUZWA, TAIFA LITAANGAMIA

10 years ago
Habarileo31 Mar
Hoja binafsi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa yaja
MWAKILISHI wa Jimbo la Kwamtipura , Hamza Hassan Juma (CCM) amesema anatarajia kuwasilisha hoja binafsi katika Baraza la Wawakilishi, itakayotoa nafasi kwa Wazanzibari kuulizwa tena kama wanataka Serikali ya Umoja wa Kitaifa kuendelea kuwepo katika mfumo uliopo sasa.
10 years ago
Habarileo26 Feb
CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.