CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Chadema Z’bar yakosoa umoja wa kitaifa
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
CUF yasisitiza serikali tatu Katiba mpya
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitatetea maoni ya wananchi waliyoyatoa wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipokusanya maoni ya rasimu ya Katiba mpya ya kutaka serikali tatu. Hayo yalisemwa juzi...
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya
10 years ago
Habarileo25 Feb
Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar yaparaganyika
11 years ago
Habarileo08 Jan
UNDP yapongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa
MWAKILISHI wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) amepongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar kwa kuondosha siasa za chuki na uhasama kwa wananchi wa Zanzibar na kufungua ukurasa mpya wa maelewano.
11 years ago
Habarileo10 May
‘Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri’
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri na kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.
10 years ago
Habarileo25 Feb
Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema CCM.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.
10 years ago
Habarileo31 Mar
Hoja binafsi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa yaja
MWAKILISHI wa Jimbo la Kwamtipura , Hamza Hassan Juma (CCM) amesema anatarajia kuwasilisha hoja binafsi katika Baraza la Wawakilishi, itakayotoa nafasi kwa Wazanzibari kuulizwa tena kama wanataka Serikali ya Umoja wa Kitaifa kuendelea kuwepo katika mfumo uliopo sasa.