Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Z’bar yakosoa umoja wa kitaifa

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mfumo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar umedumaza dhana ya demokrasia ya vyama vingi na kuficha misingi ya utawala bora kutokana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kushindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi waliohusika na ufisadi visiwani hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana juu ya uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR ulioanza wiki hii mkoani Njombe. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe. (Na Mpigapicha Wetu).CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametangaza mapendekezo maalumu ya uundwaji wa serikali ya Umoja wa kitaifa nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema

Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi Zanzibar, Waride Bakari JabuCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Bila ya umoja wa kitaifa tunaelekea kubaya

Kwa hali ilivyo Tanzania inahitaji chombo cha kujenga umoja. Lakini kisiwe chini ya vyama vya siasa, dini, ukanda wala ukabila.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar yaparaganyika

Wakati mazungumzo ya kutatua mgogoro wa kisiasa Zanzibar yakiendelea, utendaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), unaonekana kuparaganyika baada ya mawaziri wa CUF kususia kazi, wakidai Serikali hiyo imeshamaliza muda wake.

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri’

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri na kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.

 

11 years ago

Habarileo

UNDP yapongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa

Alberic KacouMWAKILISHI wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) amepongeza Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar kwa kuondosha siasa za chuki na uhasama kwa wananchi wa Zanzibar na kufungua ukurasa mpya wa maelewano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani adui wa umoja wetu wa kitaifa?

HAKUNA taifa linaloweza kusimama bila ya kuwa na umoja wa kitaifa. Tanzania imesimama imara hadi leo hii kwa sababu ya umoja wa kitaifa uliojengwa na waasisi wa taifa letu. Tunasifiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema CCM.

Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi Zanzibar, Waride Bakari JabuCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani