Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VILABU SABA VYA GOFU KUKUTANA TANZANIA OPEN K-VANT GIN GOLF CO-OPERATE TOURNAMENT 2014

Makamu mwenyekiti wa klabu ya Gofu ya Moshi ,Chris Martin akimuonesha uwanja utakaotumika kwa mashindano hayo Meneja Mauzo wa kampuni ya Megatrade Investment Ltd kanda ya kaskazini ,Edmund Rutaraka. Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

FM ACADEMIA WADONDOSHA SHOW YA NGUVU JIJINI MBEYA CHINI YA UDHAMINI YA KINYWAJI CHA K-VANT GIN

Wanamuziki wa Bendi ya Fm Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wakitoa burudani kwa mashabiki wao siku ya uzinduzi wa Hotel ya Mfikemo Sae jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.Picha Elvis Kimambo Jamiimojablog Mashabiki na wadau wa Fm Academia wakiserebuka katika onyesho hilo. Mkurugenzi wa Hotel ya Mfikemo Ndugu Lwitiko Mwandembele (katikati) Jofrey Ananiah kulia na wengine wakifurahia jambo siku ya uzinduzi wa hotel hiyo ambapo kuliambatana na onyesho la Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Meneja...

 

10 years ago

TheCitizen

Lugalo shines bright at PWC golf tournament

Hosts Lugalo Club came up trumps over the weekend when its golfers won almost all categories of the PWC tournament.

 

11 years ago

TheCitizen

Organisers hail Play for Sight golf tournament

The Play for Sight charity golf tournament organisers have said that the recently concluded event was a success after surpassing their target.

 

10 years ago

TheCitizen

Gritty Shariff steals show at Dar golf tournament

>Ali Shariff of Dar es Salaam Gymkhana Club emerged the overall winner of the December Monthly Mug Black Energy on Wednesday.

 

11 years ago

Dewji Blog

The Kurasini Project to benefit from the Rotary Club of Bahari’s 4th Charity Golf Tournament!

Rotary-Club-of-Bahari-Dar-es-Salaam

The Rotary Club of Bahari is holding its 4thannual charity Golf Tournament on May 31st at Gymkhana Club Dar es Salaam. The funds that are raised during this event are contributed to projects that are selected by the Club, this year’s beneficiary being the Kurasini Project.

The President of the Rotary Club of Bahari Dar es Salaam Mr. Venkatesh Jayaraman said “we chose to support the Kurasini Project as a beneficiary, because the project aims to improve the livelihood of young girls by...

 

5 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO



Na Luteni Selemani Semunyu

Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.

Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Golfers set for Nyerere Open tournament

Over 120 golfers are expected to battle it out in the much anticipated FNB Nyerere Open Golf championship that tees off next month.

 

11 years ago

TheCitizen

GOLF: Eaton keen on Uganda Open title

>Two- time Uganda Ladies Open champion Angel Eaton is keen on retaining her title at the coveted regional event planned for Kampala.

 

5 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA GOFU YA TANAPA LUGALO OPEN KUFANYIKA MACHI 14 NA 15 JIJINI DAR ES SALAAM.

Na Luteni Selemani Semunyu

Mwenyekiti wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo ametangaza mashindano ya Tanapa Lugalo Open yanatarajiwa kufanyika Machi 14 na 15 Mwaka huu katika Viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Mwandishi wa hbari hizi Mwenyekiti huyo alisema masindano hayo yalikuwa yafanyike February 29 na Machi Mosi lakini kutokana na baadhi ya Maandalizi kutokamilika imelazimu sasa kusogeza mbele.

“ Tumesogeza mbele ili kutoa fursa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani